Si kweli! Acha kupotosha we mzee ndo maana umenunua rumion kwa kufwata mkumbohilo gari mpaka linatembea barabaran unatakiwa uwe na milion 170-180
Ni sawa na Mtu anaetaka kuanza kujenga nyumba yake ya Kwanza halafu anaulizia ramani ya ikulu ili ajenge Kama Ile.Kwani hizi hazitakiwi kununuliwa na binadamu? Ni za wanyama?
Nn Rav 4..zipo mpaka crown,harrier za 100m+Ila parefu aisee....100M+ kwa Rav4? au mimi ndo sijaelewa?
Sawa anza na hyo Rav 4 adventure iko poa Sana..hutojutia pesa yako mzeeSwala ni pesa na sio haya mawazo yako unayoyasema
Kwani ukitaka kununua gari kuna grade kwamba lazima uanze na kama hako ka bebi wolka unakokawaza?