Sakoyo
Senior Member
- Aug 23, 2010
- 135
- 7
Ndugu zangu naomba ushauri wenu hasa mlio kwenye field ya uhandisi, kuna ndugu yangu amemaliza form six na naona hajapata credit za kumpeleka chuo direct so ninafikiri kum-support asome kama private. Sasa naomba kusaidiwa maoni akasome kozi ipi kati ya hizi: a) Civil engineering
b) Mechanical engineering
c) Electrical engineering au
d) Computer
Nitashukuru ukishauri na kunipa uzoevu wako kidogo kwenye field unayofikiri kwa sasa na baadae italipa as nataka nimkopeshe hiyo hela ya kusomea mbele ya wazee..
b) Mechanical engineering
c) Electrical engineering au
d) Computer
Nitashukuru ukishauri na kunipa uzoevu wako kidogo kwenye field unayofikiri kwa sasa na baadae italipa as nataka nimkopeshe hiyo hela ya kusomea mbele ya wazee..