mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,607
- 1,596
Habari wadau.
Naenda direct kwenye mada.
Naomba kujua, umri wa ujauzito (mimba) kwa mwanamke unaanza kupimwa baada ya mda gani tangu kufanya tendo la ndoa?
Yani daktari akimpima ujauzito mwanamke vipimo vinaanza kuhesabu tangu mda gani baada ya kufanya tendo la ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?
Naenda direct kwenye mada.
Naomba kujua, umri wa ujauzito (mimba) kwa mwanamke unaanza kupimwa baada ya mda gani tangu kufanya tendo la ndoa?
Yani daktari akimpima ujauzito mwanamke vipimo vinaanza kuhesabu tangu mda gani baada ya kufanya tendo la ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?