Msaada kuhusu ukokotoaji wa ushuru wa gari TRA

Jeff

JF-Expert Member
Sep 26, 2009
1,293
199
Habari wandugu!

Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to age).

Lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi TRA kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa gari ambayo ni mpya au ni miaka ya karibuni inakuwa na kodi kubwa ya uchakavu kuliko gari la zamani.

Mfano escudo ya 2009 lenye specification sawa na la mwaka 2014 kodi ya uchakavu kwa gari la 2014 ni kubwa kuliko la 2009. Naomba kufahamishwa hapa imekaaje.
 
Kwa sababu hiyo Escudo ya 2014 ina CIF kubwa kuliko iyo ya 2009.

Kwahiyo inajikuta inakodi kubwa zaidi ata kama wametoa ile ya uchakavu.
 
Kwa sababu hiyo Escudo ya 2014 ina CIF kubwa kuliko iyo ya 2009.

Kwahiyo inajikuta inakodi kubwa zaidi ata kama wametoa ile ya uchakavu.
Lakini mkuu ukiangalia kwenye chart ya kodi TRA baada ya kuingia details za gari husika unakuta kwenye kodi ya uchakavu gari mpya inachajiwa pesa nyingi kuliko ya zamani. Ngoja nikupe mifano mkuu
 
Kwa sababu hiyo Escudo ya 2014 ina CIF kubwa kuliko iyo ya 2009.

Kwahiyo inajikuta inakodi kubwa zaidi ata kama wametoa ile ya uchakavu.
 

Attachments

  • Screenshot_20200523-094227_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20200523-094227_Samsung Internet.jpg
    111.1 KB · Views: 19
  • Screenshot_20200523-094135_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20200523-094135_Samsung Internet.jpg
    107.5 KB · Views: 14

Inawezekana percentage ni ndogo kwa gari mpya kuliko ya zamani ila kwa sababu excise duty inapigwa kwenye thamani ya gari, gari yenye thamani kubwa sana inaweza kuwa na excise duty kubwa. Inawezekana formula ya kikokotoo imezingatia percentage pekee kwenye kukokotoa hiyo duty.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo zote zinapigwa kodi ya uchakavu ambayo ni asilimia fulani ya bei ya gari, sasa kama la 2009 bei yake ni kubwa basi hata kama wakipunguza asilimia za uchakavu bado itakuja hela kubwa . Jaribu la kuanzia 2013 au 2014, kodi ya uchakavu ni 0.
 
H
Habari wandugu!

Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to age).

Lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi TRA kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa gari ambayo ni mpya au ni miaka ya karibuni inakuwa na kodi kubwa ya uchakavu kuliko gari la zamani.

Mfano escudo ya 2009 lenye specification sawa na la mwaka 2014 kodi ya uchakavu kwa gari la 2014 ni kubwa kuliko la 2009. Naomba kufahamishwa hapa imekaaje
Hio imekaa kitapeli ila wacha tuwaachie wenye mamlaka wafanye watakavyo. We hakikisha una hela tu ili ikifika bandarini itoke kabla ya week.
 
H
Hio imekaa kitapeli ila wacha tuwaachie wenye mamlaka wafanye watakavyo. We hakikisha una hela tu ili ikifika bandarini itoke kabla ya week.
Nimekusoma mkuu. Ni kama vile tumebanwa tusinunue magari mapya.
 
Hizo zote zinapigwa kodi ya uchakavu ambayo ni asilimia fulani ya bei ya gari, sasa kama la 2009 bei yake ni kubwa basi hata kama wakipunguza asilimia za uchakavu bado itakuja hela kubwa . Jaribu la kuanzia 2013 au 2014, kodi ya uchakavu ni 0.
Mkuu hii bado haijakaa sawa. Nimeang. alia gari ya mwaka 2015, 2016, 2017 na 2018. Hizi zote ni escudo. Jinsi gari linavyokuwa jipys (current years) na kodi ya uchakavu ni kubwa. Ndio nimeshindwa kuelewa hapo
 
Habari wandugu!

Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to age).

Lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi TRA kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa gari ambayo ni mpya au ni miaka ya karibuni inakuwa na kodi kubwa ya uchakavu kuliko gari la zamani.

Mfano escudo ya 2009 lenye specification sawa na la mwaka 2014 kodi ya uchakavu kwa gari la 2014 ni kubwa kuliko la 2009. Naomba kufahamishwa hapa imekaaje
Jibu ni simple gari la 2014 ni latest so kodi yake ni kubwa kingine wanapiga kodi kubwa kwasababu wanahofu kua unaweza kua unafanya biashara ya magari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom