Umenipa hopes ngoja ni subiri manake simu walinipigia wao.Kiukweli Wapo Vizuri, Ila Angalizo si wao wanaotoa Ajira. Wao ni Link tu Kati ya Wewe mtafuta Ajira na Kampuni inayohitaji mfanyakazi. Wanapewa Sifa na Vigezo vya mtu anayetakiwa. So hawawezi tu wakakuchukua kwa vile tu Umetuma CV. Ukikidhi Vigezo wanakuunganisha na mteja wao.