Ulitumia mafuta ya breki kutibu ngozi?
Kama ndio ulikua unatumia mafuta breki kiasi gani na kupaka mara ngapi kwa siku.
Nilikuwa napaka asubuhi na jioni nilikuwa napima kifuniko kimoja tu.Ulitumia mafuta ya breki kutibu ngozi?
Kama ndio ulikua unatumia mafuta breki kiasi gani na kupaka mara ngapi kwa siku.
Mba za kichwani kwa me navo ona nitofauti na za ngozi zakichwa ni lahisi kutibu na kuondoka ata kwa kuzikwangua na kitana then kuosha kichwa kwa sabuni au shampu na kuweka nyele saf muda wote na kuangalia ni ainagani yamafuta unatumia kichwan uwenda ndo yanapelekea kuwepoMimi pia wananisumbua kichwani najikuna sana
Mjohoro?Kuna mti una majani yanafanana na majani ya karanga na yaa harufu kali siku tatu tu uko poa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanapatikana wapi mkuu haya mafuta ya breki ?A za na mafuta ya break lakini hakikisha unayatumia kwa wiki sita
Garage ya magari.Yanapatikana wapi mkuu haya mafuta ya breki ?
Okey asante sana,hata maduka ya spea za magari naweza pata ?Garage ya magari.
Hivyo hivyoOkey asante sana,hata maduka ya spea za magari naweza pata ?
Nikiyapata yanazimuliwa au hupakwa hivyo hivyo ?
Nimesumbuliwa na MBA muda mrefu nimeenda Kwa Dr WA ngozi( specialist) kanipa dawa ulifika hatua Hadi vidonda kichwani nimesoma huu Uzi wote lakini nikachukua point ya kwenda kumwona daktari na ndio nimefanya Nina siku ya pili vidonda vimepona Kwa asilimia kubwa na mwasho umeanza kuisha. Dawa alizonipaMimi pia wananisumbua kichwani najikuna sana