Msaada kuhusu tv zenye ving'amuzi vya ndani..

TV zenye ving,amuzi mimi ninazo tatu sanyo, Philips na legacy lakini moja ndio inakubali dish na antena(legacy) bila kingamuzi, kwa antenna channel ninazopata ni:
1Capitol
2- ITV
3- TBC
4- STAR TV
5- CLOUD TV
6-ETV
7- ALJAZIRA
8- CITIZEN
9- EMANUEL TV.
hiyohiyo tv aina ya Lagency, kwa kutumia dish mwelekeo wa STAR TIME na Zuku nina pata channel nyingi sana zote za nje kwa muelekeo wa France Satellite
Hizo channel ulizo taja hapo.. Unazipata bure kwako kaka..? Mimi natumia Hisense nime unga antena ya startime.. Ila ina niambia no CI Module.. Kwenye hizo channel ulizo taja wewe.. Napata tu
TVE na Ndago TV.. hizo nyingine ziko locked kwangu
 
TV zenye ving,amuzi mimi ninazo tatu sanyo, Philips na legacy lakini moja ndio inakubali dish na antena(legacy) bila kingamuzi, kwa antenna channel ninazopata ni:
1Capitol
2- ITV
3- TBC
4- STAR TV
5- CLOUD TV
6-ETV
7- ALJAZIRA
8- CITIZEN
9- EMANUEL TV.
hiyohiyo tv aina ya Lagency, kwa kutumia dish mwelekeo wa STAR TIME na Zuku nina pata channel nyingi sana zote za nje kwa muelekeo wa France Satellitevp
 
TV zenye ving,amuzi mimi ninazo tatu sanyo, Philips na legacy lakini moja ndio inakubali dish na antena(legacy) bila kingamuzi, kwa antenna channel ninazopata ni:
1Capitol
2- ITV
3- TBC
4- STAR TV
5- CLOUD TV
6-ETV
7- ALJAZIRA
8- CITIZEN
9- EMANUEL TV.
hiyohiyo tv aina ya Lagency, kwa kutumia dish mwelekeo wa STAR TIME na Zuku nina pata channel nyingi sana zote za nje kwa muelekeo wa France Satellite
Vp bro! Channel hizo unazipata free bila malipo? na unafanyaje? Tv yangu inayo king'amuzi ndani. Pia nina uelewa wa haya mambo. Ila channel hizo ww unafanyaje kizipata ili na mm nizipate?
 
Sina hakika mkuu ila najua inabagua maeneo. Inataka miji mikubwa kama Dar. Ngoja tusubiri wadau waliokwisha tumia T2 mikoani.
Channel huwa zaja kwenye T2 ila hata zile zilizo FTA zinakuwa scrambled, nafikili ni hawa provider kama startimes, ting, azam wanaotumia mfumo wa terrestrial wanazuia tusio na dekoda zao tusipate
 
Hizo channel ulizo taja hapo.. Unazipata bure kwako kaka..? Mimi natumia Hisense nime unga antena ya startime.. Ila ina niambia no CI Module.. Kwenye hizo channel ulizo taja wewe.. Napata tu
TVE na Ndago TV.. hizo nyingine ziko locked kwangu
UPDATE: Nime Jaribu kufanya Search Tena.. nimepata hizi channel
  1. ITV
  2. EATV
  3. TVE
  4. NDAGO TV
  5. CAPITAL TV
  6. StarTimes Guide
  7. StarSwahili Guide
Nita Export hizi Channel Kwenye Flash Alafu nifanye Search tena mida ya usiku kama nitapata hizo zilizobaki
  1. TBC
  2. STAR TV
  3. CLOUDS TV
 
UPDATE: Nime Jaribu kufanya Search Tena.. nimepata hizi channel
  1. ITV
  2. EATV
  3. TVE
  4. NDAGO TV
  5. CAPITAL TV
  6. StarTimes Guide
  7. StarSwahili Guide
Nita Export hizi Channel Kwenye Flash Alafu nifanye Search tena mida ya usiku kama nitapata hizo zilizobaki
  1. TBC
  2. STAR TV
  3. CLOUDS TV
Mkuu hii tv yangu inauwezo huo ni tcl 43 inch android??View attachment 2009186
20211113_174616.jpg
 
UPDATE: Nime Jaribu kufanya Search Tena.. nimepata hizi channel
  1. ITV
  2. EATV
  3. TVE
  4. NDAGO TV
  5. CAPITAL TV
  6. StarTimes Guide
  7. StarSwahili Guide
Nita Export hizi Channel Kwenye Flash Alafu nifanye Search tena mida ya usiku kama nitapata hizo zilizobaki
  1. TBC
  2. STAR TV
  3. CLOUDS TV
Bro naomba namba yako ya simu nkupigie unielekeze na mm unavyozipata hizo channel.
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom