Hamis Zmc
Member
- Aug 25, 2016
- 45
- 26
nipo mkoa wa Mara, nina shida moja, natumia sunder solar watt 100, bettry ya sunder N 100, INVETER ya Solar Max watt 150, pia nina flt tv inch 32 yenye watt 50, 110-240v,, nina blender watt 350, subfer seapeano v 220-2240, na taa 3 watt5, shida ninkwamba moto unaisha haraka sana,nikiwasha tv tu inveter inasoma v100, tv inazma na pia bettry ikiwa full nikiwasha tv tu charge controller inasoma 25% kisha inveter inafel na tv inazima, msaada hapo nifanyeje