Mtu akiwa jobless anapoteza haki ya faragha?
Ma jobless lakini kumbuka anything can happen,kesho kapata kazi inakuaje hapo mkuu.Wengine ni majobless lkn wanaogopa eti data zao kuibiwa/kudukuliwa wkt hakuna kwny kitu wanatumia kwny watsap zaidi ya kutuma CV kwa ndg na jamaa kuomba wapigwe tafu kwny suala la ajira.
Ma jobless lakini kumbuka anything can happen,kesho kapata kazi inakuaje hapo mkuu.
Sio huruma tu , majority of people nchi zetu za ki Africa ni jobless.kutoka na mifumo yetu ya kiutawala na mifumo ya elimu,haiwaandai watu kujiajili.Ata Kama mi nimeajiwa au kujiajili lazima niguse kundi hiloLeo mmekua na huruma dana na sisi majobless.
Au nimesema uongo ndg yanguuuuuuuuuuuu?
Sio huruma tu , majority of people nchi zetu za ki Africa ni jobless.kutoka na mifumo yetu ya kiutawala na mifumo ya elimu,haiwaandai watu kujiajili.Ata Kama mi nimeajiwa au kujiajili lazima niguse kundi hilo