N nelson15 Senior Member May 17, 2018 109 74 Oct 10, 2019 #1 Naombeni kujuzwa ubora na matumizi ya Openbox V9S Xtreamtv
MEING'ATI JF-Expert Member Feb 17, 2014 1,212 1,009 Oct 10, 2019 #2 Hii ni decoda ya Wathauthi nadhani ni ya malipo kama dstvenga wewe unataka usaidiwe nini?
N nelson15 Senior Member May 17, 2018 109 74 Oct 10, 2019 Thread starter #3 Kujua kama inaweza kutumika kwa tanzania
thesym JF-Expert Member Aug 15, 2012 3,791 4,679 Oct 10, 2019 #4 nelson15 said: Kujua kama inaweza kutumika kwa tanzania Click to expand... Hiyo ni FTA decoder, na unaweza kutumia hata hapa tza. utapata channels za fta iwapo utatafuta na kuseti uwelekeo wa satellite yenye fta channels.
nelson15 said: Kujua kama inaweza kutumika kwa tanzania Click to expand... Hiyo ni FTA decoder, na unaweza kutumia hata hapa tza. utapata channels za fta iwapo utatafuta na kuseti uwelekeo wa satellite yenye fta channels.
proxy JF-Expert Member Jul 3, 2016 1,468 1,329 Oct 11, 2019 #5 Nahitaji live TV links kwa format ya M3u8 kama naweza pata sehemu ndugu zangu
thesym JF-Expert Member Aug 15, 2012 3,791 4,679 Oct 11, 2019 #6 proxy said: Nahitaji live TV links kwa format ya M3u8 kama naweza pata sehemu ndugu zangu Click to expand... 1. Install bluestack kwenye kompyuta 2. Install apps zinazoonyesha livestreaming mfano azam,itv nk. 3. Kisha download software inaitwa bitzanalyzer. Hii software ina-track packets na kisha kuonyesha links. 4. Fungua moja ya tv na kisha fungua bitzanalyzer Hapo utaona link ya tv.
proxy said: Nahitaji live TV links kwa format ya M3u8 kama naweza pata sehemu ndugu zangu Click to expand... 1. Install bluestack kwenye kompyuta 2. Install apps zinazoonyesha livestreaming mfano azam,itv nk. 3. Kisha download software inaitwa bitzanalyzer. Hii software ina-track packets na kisha kuonyesha links. 4. Fungua moja ya tv na kisha fungua bitzanalyzer Hapo utaona link ya tv.