Bado mkuu.We jamaa bila shaka ndio uliniletea earphone na mashine ya ndevu ulipokua india kipindi kile boss lini unaenda tena namba yako nilipoteza aisee
Bado mkuu.We jamaa bila shaka ndio uliniletea earphone na mashine ya ndevu ulipokua india kipindi kile boss lini unaenda tena namba yako nilipoteza aisee
Tuzo ya ku Overprice bei ya vifaa vyao😹😹😂😂😂Na samsung walipata ipi?
Oppo ni simu na nusuMi ninayo Oppo A9 (2020), very amazing, display safi, Kamera nzuri, sound yake hasa unaposikiliza mziki ni bomba sana, kwa simu ambazo nilisha wahi kutumia, imenifurahisaha sana, halafu niliinunua tu kutaka kupata flavour tofauti na simu zilizozoeleka nikajikuta naipenda kuliko maelezo.
Duuh one plus gani itafua dafu mbele ya samsung note 20 ultra