Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,730
- 519
wakuu naombeni msaada wenu, kuna nafasi za vodacom watu walifanya interview mwezi uliopita,
tatizo langu ni kuwa kuna kijana wangu ninaishi nae, na alimaliza chuo 011, mda wote hajabahatika kupata ajira, kwa bahati nzuri kapata hizo nafasi, kwa mujibu wa yeye alipomaliza training, walishindwana na vodacom kwenye mkataba, anasema wanalipa kidogo mnoo, alafu masharti ya mkataba ni magumu, hivyo kaamua kuacha kazi,
naomba mwenye uelewa kuhusu huo mkataba anisaidie ni kweli mkataba una masharti magumu!
na je mshahara wanalipa kiasi gani?
tatizo langu ni kuwa kuna kijana wangu ninaishi nae, na alimaliza chuo 011, mda wote hajabahatika kupata ajira, kwa bahati nzuri kapata hizo nafasi, kwa mujibu wa yeye alipomaliza training, walishindwana na vodacom kwenye mkataba, anasema wanalipa kidogo mnoo, alafu masharti ya mkataba ni magumu, hivyo kaamua kuacha kazi,
naomba mwenye uelewa kuhusu huo mkataba anisaidie ni kweli mkataba una masharti magumu!
na je mshahara wanalipa kiasi gani?