Kuna mtoto amejitokeza mbezi mwisho ya kimara taahira mwenye umri takribani miaka 16 anaitwa Elizabeth,huyu mtoto ni hatari sana,kitu anachofanya akiona mtu anapita hasa mwanamke anamwomba hela akikataa anamghata na kumtoa damu au anamparua kwa kucha,kwa kweli huyu mtoto sasa hivi amekua hatari mno,nimeshashuhudia wadada kama watatu hivi katika siku tofauti na leo nimeshuhudia mwingine nikaona nilitoe hili tatizo hapa kwenye mtandao nikiwa na imani vyombo vinavyousika vitaona na kumwondoa haraka kabla hajaleta mazara zaidi.
Kuhusu huyu dada wa leo alikuwa anapita katika kituo cha zamani mbezi mwisho huyo mtoto akamwomba hela huyo dada akamwambia sina,wakati huyo dada anataka kuvuka barabara akapigwa meno midhili ya mbwa anayengata mfupa kwa kweli inasikitisha sana dada wa watu akajaribu kumkimbiza lakini wapi akabaki akiugulia maumivu.
Ningependa kutumia nafasi hii kuviomba vyombo vinavyohusika visaidie kumwondoa mtoto huyu kabla madhara makubwa zaidi hayajatokea.
Kuhusu huyu dada wa leo alikuwa anapita katika kituo cha zamani mbezi mwisho huyo mtoto akamwomba hela huyo dada akamwambia sina,wakati huyo dada anataka kuvuka barabara akapigwa meno midhili ya mbwa anayengata mfupa kwa kweli inasikitisha sana dada wa watu akajaribu kumkimbiza lakini wapi akabaki akiugulia maumivu.
Ningependa kutumia nafasi hii kuviomba vyombo vinavyohusika visaidie kumwondoa mtoto huyu kabla madhara makubwa zaidi hayajatokea.