Msaada kuhusu Mbeya university of science and technology

Jun 12, 2017
54
9
Ndugu kwawale wanao kifahamu hiko chuo naomba wanieleze cpt yaani computer engineering wanafundisha vizuri kweli , alafu kinaweza kukifikia dit.
 
Kapige electrical au architect must ziko poa sana hizo tuliopita tanaujua mziki wake hapo ukigraduate salama utakuwa umekwiva Mzee baba!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom