teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 136
Wadau Naomba msaada Wenu juu ya Kampuni hii ya KIKUU TZ, nahitaji kununua. Kitu onliNe kupItia kikuu lkn kabla. Sijafanya hivyo naomba kujua kwa aliyewahi kuagiza kitu na Akafanikiwa, ki ukweli nimeshindwa kuwaelewa hawa wauzaji wa vifaa kupitia Kikuu, unakuta kitu ni kzr lkn bei yake ndogo ukilinganisha na specification zake. Nahitaji kupata ushuhuda toka kwa aliyewahi kuagiza.
Hilo moja, la pili ni ukichagua kitu na ukataka kuLipia kuna option nne, MPESA, MPESA ONLINE, TIGO PESA, TIGO PESA ONLINE NA AIRTEL MONEY. je hizo online ni huduma za namna gani?
Natanguliza shukrani
Hilo moja, la pili ni ukichagua kitu na ukataka kuLipia kuna option nne, MPESA, MPESA ONLINE, TIGO PESA, TIGO PESA ONLINE NA AIRTEL MONEY. je hizo online ni huduma za namna gani?
Natanguliza shukrani