Msaada kuhusu majukumu ya fitter kwenye meli

Nimesoma mandaratory corse ya ubaharia pia nimepata ajira ya kudumu shida ilikuwa kujua kma Kuna zaidi naenda kwenye meli kma crew member
Wewe hutakuwa ukifanya hizo kazi zako za fitter, ila utapingiwa majukumu kwenye emergency team. Na wewe hautokuwa na zamu(watch) za kuangalia upande kwenye upande wa injini au deck(uongozaji) meli ikiwa safarini au bandari.
 
Nimesoma mandaratory corse ya ubaharia pia nimepata ajira ya kudumu shida ilikuwa kujua kma Kuna zaidi naenda kwenye meli kma crew member
Hapo hapo naomba kukuuliza swali,Ni kozi ambayo nikiisoma short course itakuwa rahisi kwangu kupata kazi melini,nina taaluma yangu nyingine ambayo ni umeme,
 
Umepata kazi ya kudumu(utakuwa mmoja wa Crew wa Meli ?) au? Hiyo kazi itakuwa alipewa Agent wa Mwenye Meli atafute mtu ndio kakutafuta wewe na kakutafuta wewe ili ale cha Juu kama kawaida yetu! Kiuhalisia Kama wewe hujui hata hata maana ya hilo neno huna vigezo na hiyo kazi.
ebwana eti nikitaka kazi za melini nianzie wapi,taaluma yangu umeme
 
ebwana eti nikitaka kazi za melini nianzie wapi,taaluma yangu umeme
Kasome kozi za awali za ubaharia( mandatory course) hapo utakuwa na uwezo wa kufanya kazi katika meli yoyote kama baharia wa kawaida.

Baadae baada ya kufanya kazi melini ukirudi unaweza kusoma electro-technician course ambayo haizidi mwaka na utafanya kazi kama ofisa mtaalamu wa umeme na electronics melini Electro Technicians Officer-(ETO) na utakaa mess Moja na maofisa kama Captain, Chief Engineer na Kwa sasa ETO ni wachache sana na teknolojia haikwepeki meli zinamhitaji mtu huyu.
 
Hapo hapo naomba kukuuliza swali,Ni kozi ambayo nikiisoma short course itakuwa rahisi kwangu kupata kazi melini,nina taaluma yangu nyingine ambayo ni umeme,
Ndyo lazma usome mandaratory corse ujue jinsi ya kujiokoa na vinginevyo ndyo uajiriwe
 
ebwana eti nikitaka kazi za melini nianzie wapi,taaluma yangu umeme
Nenda DMI( Dar es Salaam Maritime Institute) pale kuna Kozi ambazo ni Mandatory lwa fami yako ya umeme lazima usome ili uweze kupata Boarding Pass(Hati ya kukiruhusu kufanya kazi melini). Ukienda pale utapata maelekezo yotee
 
Nenda DMI( Dar es Salaam Maritime Institute) pale kuna Kozi ambazo ni Mandatory lwa fami yako ya umeme lazima usome ili uweze kupata Boarding Pass(Hati ya kukiruhusu kufanya kazi melini). Ukienda pale utapata maelekezo yotee
Shukrani sana kwa ushauri wako
 
Nina imani had kufikia muda huu utakua hata ulisha izamishaga hiyo meli
 
Back
Top Bottom