Msaada kuhusu mabati

Mganga wa Jadi

JF-Expert Member
Mar 12, 2008
280
51
Habari za leo wakuu!!!!
Naombeni msaada kuhusu wapi nitapata bati imara na nzuri za kuezekea.
Nimeenda Nabaki Africa ya hapa Dar lakini bei zao tumeshindwana.
Ni nyumba ya vyumba vitatu iko maeneo ya kigamboni Dar 4 km from baharini.
Nashukuru kwa msaada.
 
kuna mabati katika maduka ya jeshi na bei zao huwa ni nzuri tu maana jeshini wana ax excemption. waweza kwenda mgulani au airwing utapata mabati mazuri tu ingawa sometimes ni timing kuyapata maana watu wanayachukua kwa sana. unachohitaji ni kuwa mwanajeshi au kuwa na rafiki mwanajeshi atakayekununulia. big up.
 
kuna mabati katika maduka ya jeshi na bei zao huwa ni nzuri tu maana jeshini wana ax excemption. waweza kwenda mgulani au airwing utapata mabati mazuri tu ingawa sometimes ni timing kuyapata maana watu wanayachukua kwa sana. unachohitaji ni kuwa mwanajeshi au kuwa na rafiki mwanajeshi atakayekununulia. big up.

Huu mchezo upo sana,(hapo ktk red). Sasa kila mtu akikwepa kodi, nchi itajengwa na nani?
 
Malila unaonesha u mzalendo wa nchi yako, lakini unajua ya kwamba watu waliopewa dhamana ya kusimamia sheria pamoja na wafanyabiashara wakubwa ndo wakwepaji wa kodi?
Umeiona list ya top taxpayers, tafsiri yake ni nini?
Huu mchezo upo sana,(hapo ktk red). Sasa kila mtu akikwepa kodi, nchi itajengwa na nani?
<br />
<br />
 
Habari za leo wakuu!!!!
Naombeni msaada kuhusu wapi nitapata bati imara na nzuri za kuezekea.
Nimeenda Nabaki Africa ya hapa Dar lakini bei zao tumeshindwana.
Ni nyumba ya vyumba vitatu iko maeneo ya kigamboni Dar 4 km from baharini.
Nashukuru kwa msaada.

Vipi mkuu bei ya Nabakai Afrika ikoje? Waweza kwenda mwenyewe pale kiwandani ALAF mkabala na redio Tanzania ukaweka oda yako ya yale mabati magumu kabisa kwa bei nafuu.
 
nenda ALAF kaulizie bei zao japo nasikia si mbaya halafu wanakubali kulipa pole2 hadi ukimaliza ndo unachukua mabati yako
 
Back
Top Bottom