Mganga wa Jadi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2008
- 280
- 51
Habari za leo wakuu!!!!
Naombeni msaada kuhusu wapi nitapata bati imara na nzuri za kuezekea.
Nimeenda Nabaki Africa ya hapa Dar lakini bei zao tumeshindwana.
Ni nyumba ya vyumba vitatu iko maeneo ya kigamboni Dar 4 km from baharini.
Nashukuru kwa msaada.
Naombeni msaada kuhusu wapi nitapata bati imara na nzuri za kuezekea.
Nimeenda Nabaki Africa ya hapa Dar lakini bei zao tumeshindwana.
Ni nyumba ya vyumba vitatu iko maeneo ya kigamboni Dar 4 km from baharini.
Nashukuru kwa msaada.