Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Wanajanvi naombo msaada kuhusu kusoma MA pale Makerere kwa M7,vipi gharama zake katika kitivo cha elimu au sanaa ya sayansi ya jamii.Vipi kuna shule na facilities au tia maji bora liende.Na je hapa TZ mtazamo na kukubalika inakuwa je?Natanguliza thanks.