Msaada kuhusu kurudia somo moja

Danny OG

Member
Nov 24, 2021
7
6
Habari zenu wakuu.

Nilimaliza form four mwaka 2018 kwa ufaulu wa division 3 ya 24, lakini nilikua na F moja ya Mathematics hata hivyo nikachagulia na TAMISEMI kusomea coz ya marketing ndiyo ninayosoma Hadi Sasa.

Nataka ku risiti nirudie SoMo moja la mathematics ambalo nilipata "F" form four. Nahitaji kujua Kama inawezekana, na je process zake zikoje?? Marks huwa zinakua sawa Kama za wanafunzi wa kawaida ?? na vipi kuhusu gharama zake?

Nimeuliza humu sababu najua JF wapo watu tofauti tofauti Kuna wengine wlimu, wengine viongozi, wengine walishawahi fanya hiyo mitihani na wengine wanatarajia pia kufanya nk, nakaribisha mawazo yenu, ushauri na hata kunikisoa pia Ahsanteni.
 
Kwa o level......
Unatakiwa urisit atleast masomo matatu Nadhani kama sijakosea maana nina mdogo wangu alireseat matatu wakati anatafuta C moja tuu....ila aliongeza masomo mengine 2 kama egesha tuu ili akidhi vigezo vya kurisit
 
Kama uko chuo tayari, unataka kurisit ili iweje?
Nikweli kiongozi nipo chuo Ila cheti Cha form four huwa kina umumuhimu wake zipo baadhi ya nafasi hutaka mtu mwenyew ufaulu wa kidato Cha nne SoMo la mathematics angalau awe na D ya mathe.
 
Nikweli kiongozi nipo chuo Ila cheti Cha form four huwa kina umumuhimu wake zipo baadhi ya nafasi hutaka mtu mwenyew ufaulu wa kidato Cha nne SoMo la mathematics angalau awe na D ya mathe.
Ok..kila la heri mkuu
 
One subject only inaruhusiwa. Upo mkoa gani, njoo nikupe materials za kupasua A
 
Ushauri wangu ni kwamba maliza hiyo certificate kwanza,pambana kuendelea na diploma ya accounts au Business Administration ukiweza upate na degree,usipotezee muda kurudia hilo somo moja haina maana kwa sasa elekea mbele usirudie vya nyuma
 
Ushauri wangu ni kwamba maliza hiyo certificate kwanza,pambana kuendelea na diploma ya accounts au Business Administration ukiweza upate na degree,usipotezee muda kurudia hilo somo moja haina maana kwa sasa elekea mbele usirudie vya nyuma
Tatizo mkuu huwa kuna baadhi ya degree huwa zinazingatia sana ufaulu wa masomo fulani katika kidato Cha nne. Nadhani hiyo ndiyo imepelekea kuona kurisit hasa Mathematics
 
Umechaguliwa chuo kusomea marketing uko mbeleni unataka ukasome degree au diploma ya engineering au a/c?
 
Tatizo mkuu huwa kuna baadhi ya degree huwa zinazingatia sana ufaulu wa masomo fulani katika kidato Cha nne. Nadhani hiyo ndiyo imepelekea kuona kurisit hasa Mathematics
Boss relax ukitoka diploma na GPA ya 3.0+ degree yoyote ya mambo ya biashara+social studies unasoma....Siku hizi kurudia mtihani haipo wachache watu wa zamani ndo wamekomalia hivyo
 
Boss relax ukitoka diploma na GPA ya 3.0+ degree yoyote ya mambo ya biashara+social studies unasoma....Siku hizi kurudia mtihani haipo wachache watu wa zamani ndo wamekomalia hivyo
😂😂 Sawa mkuu upo correct sikatai ila kuna kijana alishindwa kusoma Bachelor ya Economics kwasababu ya pass ya Mathematics O level alisoma IRDP. Hii nayo imekaaje maana alipewa reason hiyo.
 
😂😂 Sawa mkuu upo correct sikatai ila kuna kijana alishindwa kusoma Bachelor ya Economics kwasababu ya pass ya Mathematics O level alisoma IRDP. Hii nayo imekaaje maana alipewa reason hiyo.
Hahahah sawa ila elimu ya bongo nimekaa chini nikajua inataka makaratasi tu,nikayatafuta nikawapa nipo kivulini nimeona mengi😁😁
 
Habari zenu wakuu.

Nilimaliza form four mwaka 2018 kwa ufaulu wa division 3 ya 24, lakini nilikua na F moja ya Mathematics hata hivyo nikachagulia na TAMISEMI kusomea coz ya marketing ndiyo ninayosoma Hadi Sasa.

Nataka ku risiti nirudie SoMo moja la mathematics ambalo nilipata "F" form four. Nahitaji kujua Kama inawezekana, na je process zake zikoje?? Marks huwa zinakua sawa Kama za wanafunzi wa kawaida ?? na vipi kuhusu gharama zake?

Nimeuliza humu sababu najua JF wapo watu tofauti tofauti Kuna wengine wlimu, wengine viongozi, wengine walishawahi fanya hiyo mitihani na wengine wanatarajia pia kufanya nk, nakaribisha mawazo yenu, ushauri na hata kunikisoa pia Ahsanteni.
Inaruhusiwa kabisa. Ipo hivi kwa anayerudia mtihani yaani second sitting or more than anaruhusiwa kusajili somo moja na kuendelea ila kama first sitting student hususan wale wa QT (mtihani wa maarifa) wanaruhusiwa kusajili masomo manne mwisho 10.

Relax kijana mwezi January nenda kituo unachotaka kufanyia mtihani omba reference number utapewa bure kisha nenda nayo katengeneze control number kwa ajili ya malipo yako. Ukilipia rudi cafe endelea na usajili wako sasa wa masomo huku ukiwa na passport size moja iwe scanned kisha utaupload.
 
Habari zenu wakuu.

Nilimaliza form four mwaka 2018 kwa ufaulu wa division 3 ya 24, lakini nilikua na F moja ya Mathematics hata hivyo nikachagulia na TAMISEMI kusomea coz ya marketing ndiyo ninayosoma Hadi Sasa.

Nataka ku risiti nirudie SoMo moja la mathematics ambalo nilipata "F" form four. Nahitaji kujua Kama inawezekana, na je process zake zikoje?? Marks huwa zinakua sawa Kama za wanafunzi wa kawaida ?? na vipi kuhusu gharama zake?

Nimeuliza humu sababu najua JF wapo watu tofauti tofauti Kuna wengine wlimu, wengine viongozi, wengine walishawahi fanya hiyo mitihani na wengine wanatarajia pia kufanya nk, nakaribisha mawazo yenu, ushauri na hata kunikisoa pia Ahsanteni.
Usikubali kukatishwa tamaa na wasiojua, komaa urudie hilo somo na umpate mtu akunoe hasa hasa na uelewe vizuri utajipongeza sana badae na kabla hujaendelea diploma ukipata gape piga baadhi ya topics za hesabu za advance
 
Inaruhusiwa kabisa. Ipo hivi kwa anayerudia mtihani yaani second sitting or more than anaruhusiwa kusajili somo moja na kuendelea ila kama first sitting student hususan wale wa QT (mtihani wa maarifa) wanaruhusiwa kusajili masomo manne mwisho

Inaruhusiwa kabisa. Ipo hivi kwa anayerudia mtihani yaani second sitting or more than anaruhusiwa kusajili somo moja na kuendelea ila kama first sitting student hususan wale wa QT (mtihani wa maarifa) wanaruhusiwa kusajili masomo manne mwisho 10.

Relax kijana mwezi January nenda kituo unachotaka kufanyia mtihani omba reference number utapewa bure kisha nenda nayo katengeneze control number kwa ajili ya malipo yako. Ukilipia rudi cafe endelea na usajili wako sasa wa masomo huku ukiwa na passport size moja iwe scanned kisha utaupload.
Nashukuru sana 🙏🏿🙏🏿 kwa ushauri wako mkuu naamini umenisaidia sana angalau najua pa kuanzia sasa.
 
Back
Top Bottom