Msaada kuhusu kupatana dot com

kkiwango

Senior Member
Aug 27, 2007
173
14
Wandugu naomba msaada kwa anayefahamu utaratibu wa kununua kitu toka kupatana dot com. Kuna kitu nimekipenda ila owner anasema nilipe kwanza ndio waniletee, na mimi nasisitiza kukiona kwanza ndio nilipe. Yeye anasema kupata watanicontact ili nifanye transactions nao.
Niko changanyikiwa kidogo.
Pia mbona hawana namba za simu ili tutawafute tujue utaratibu wao ukoje?!
 
habari za kutwa wana jf naimani nyote wazima wa afya njema. lengo la kuandika haya nahitaji kujua bei ya bati ya msauth inanunuliwa bei gani maana zinachanganya naweza nikajikuta nanunua bat ya mchina nikazani ni msouth.

ni hayo tu.. natanguliza shukran kwenu.
Na mimi nimehisi ni tapeli huyo. Nawatafuta kupatana sioni namba zao za simu. Wizi mtupu huu
sina shaka mkuu nazani umeelewa sasa.
 
Wewe uelewa wako Ni jipu hebu ona hapa hiyo app ya kupatana walichokuwekea

Me nahisi unahamu ya kuibiwa au unatafuta mwanya wa kuiba tu
ImageUploadedByJamiiForums1456933078.419285.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1456933107.555827.jpg


Unacholalamika nini au English wito?
 
habari za kutwa wana jf naimani nyote wazima wa afya njema. lengo la kuandika haya nahitaji kujua bei ya bati ya msauth inanunuliwa bei gani maana zinachanganya naweza nikajikuta nanunua bat ya mchina nikazani ni msouth.

ni hayo tu.. natanguliza shukran kwenu.

sina shaka mkuu nazani umeelewa sasa.

Kupatana watakuwa tayari wamekuingiza chaka mkuu.
 
Kupatana watakuwa tayari wamekuingiza chaka mkuu.

Sijawalipa bado, na bila kuona mzigo silipi.
Wewe uelewa wako Ni jipu hebu ona hapa hiyo app ya kupatana walichokuwekea

Me nahisi unahamu ya kuibiwa au unatafuta mwanya wa kuiba tu View attachment 326977View attachment 326978

Unacholalamika nini au English wito?


Heheheh, kweli aisee. Hili ni jipu uchungu. Lkn jamaa anasema transactions zote zinapitia kupatana, simlipi yeye moja kwa moja. Au labda kama ndio mwenye hiyo website
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom