Msaada: Kuhusu kuhama chuo, hii imekaaje?

Mr Confidential

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,492
2,357
Za wakati huu members wote,

Kwa mujibu wa TCU Guide book 2019/20
*5th November to 15th November :Transfer window for first year

*16th November to 30th November : Submission of transfers to TCU

*7th December : Feedback for approved transfers.

NB: Registration ya vyuo vingi inafungwa 2 weeks after the opening date of registration.

Sasa maswali yangu ni kama ifuatavyo.

*hii transfer inafanyika baada ya registration au kabla? Au hutakiwi kufanya registration kwenye chuo unachotaka kuhama.

Unatakiwa kureport chuo gani? Yaani unachotaka kuhama au unachotaka kuhamia?

Je uhamisho unaweza kuathiri mkopo?
 
Za wakati huu members wote,

Kwa mujibu wa TCU Guide book 2019/20
*5th November to 15th November :Transfer window for first year

*16th November to 30th November : Submission of transfers to TCU

*7th December : Feedback for approved transfers.

NB: Registration ya vyuo vingi inafungwa 2 weeks after the opening date of registration.

Sasa maswali yangu ni kama ifuatavyo.

*hii transfer inafanyika baada ya registration au kabla? Au hutakiwi kufanya registration kwenye chuo unachotaka kuhama.

Unatakiwa kureport chuo gani? Yaani unachotaka kuhama au unachotaka kuhamia?

Je uhamisho unaweza kuathiri mkopo?
Aise! Hii thread ina muhusu sana dogo,maana ana wait transfer window hiyo tarehe tano ifunguliwe ili ahamie chuo kikuu huria.
 
Za wakati huu members wote,

Kwa mujibu wa TCU Guide book 2019/20
*5th November to 15th November :Transfer window for first year

*16th November to 30th November : Submission of transfers to TCU

*7th December : Feedback for approved transfers.

NB: Registration ya vyuo vingi inafungwa 2 weeks after the opening date of registration.

Sasa maswali yangu ni kama ifuatavyo.

*hii transfer inafanyika baada ya registration au kabla? Au hutakiwi kufanya registration kwenye chuo unachotaka kuhama.

Unatakiwa kureport chuo gani? Yaani unachotaka kuhama au unachotaka kuhamia?

Je uhamisho unaweza kuathiri mkopo?
Ila tarehe 5 nadhani usajili utakuwa unaendeleaje,
 
Kwa experience yangu kuhama chuo kupo kwa aina mbili:
1. Kwa kipindi changu 2013 wakati naanza chuo uliwezakuhama kwa kwenda moja kwa moja TCU wakakubadilishia kama chuo unachokihitaji kina nafasi na una qulifications
2. Kama umeshafanyiwa registration unakwenda physically chuo unachokihitaji kuhamia unaonana na registration officer kuomba nafasi yy ndio anakuambia kama inawezekana au la kama inawezekana unaandika barua ukiambatanisha sababu za uhamisho then wana process TCU unahama!!
Hivi ndio nilivyokua najua maana mm nilihama kabla ya kureport nilikwenda moja kwa moja TCU wakanibadilishia !!!
Za wakati huu members wote,

Kwa mujibu wa TCU Guide book 2019/20
*5th November to 15th November :Transfer window for first year

*16th November to 30th November : Submission of transfers to TCU

*7th December : Feedback for approved transfers.

NB: Registration ya vyuo vingi inafungwa 2 weeks after the opening date of registration.

Sasa maswali yangu ni kama ifuatavyo.

*hii transfer inafanyika baada ya registration au kabla? Au hutakiwi kufanya registration kwenye chuo unachotaka kuhama.

Unatakiwa kureport chuo gani? Yaani unachotaka kuhama au unachotaka kuhamia?

Je uhamisho unaweza kuathiri mkopo?
 
Mwenye kujua kuhusu hili atueleze
Mimi nikujibu kuhusu hathari za kupata mkopo kwa mwaka huu kama ikitokea umehama chuo
kulingana na guidebook ya mkopo mwaka huu inasema, Bodi hawata hamisha mkopo kama ikitokea mtu amehama chuo..hebu pitia vizuri guidebook yao ya mwaka huu nadhani utakutana na kufungu hicho.
 
Kwa experience yangu kuhama chuo kupo kwa aina mbili:
1. Kwa kipindi changu 2013 wakati naanza chuo uliwezakuhama kwa kwenda moja kwa moja TCU wakakubadilishia kama chuo unachokihitaji kina nafasi na una qulifications
2. Kama umeshafanyiwa registration unakwenda physically chuo unachokihitaji kuhamia unaonana na registration officer kuomba nafasi yy ndio anakuambia kama inawezekana au la kama inawezekana unaandika barua ukiambatanisha sababu za uhamisho then wana process TCU unahama!!
Hivi ndio nilivyokua najua maana mm nilihama kabla ya kureport nilikwenda moja kwa moja TCU wakanibadilishia !!!
Hii ndio inatumika... Ila sample za barua zinakuwaje mkuu
 
Back
Top Bottom