miss naire
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 237
- 228
Habari za muda huu wadau, hiv majuzi niliuliza kuhusu wanafunzi majina yao yalitoka kuwa watapangwa second selection advance lakin hawakupangwa, sasa naomba msaada hapa, naona NACTE wamesha fungua system ya udahili kwa walio chelewa, nahitaji kumuombea ndg yangu kwa sasa, naona matokeo yake physics na maths inamuangusha kwa upande wa afya, mahali anapoweza kusoma ni COMMUNITY HEALTH DEVELOPMENT, naangalia guide book ya NACTE, naona vyuo vyote wanatoa BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE, sasa nauliza vip kuhusu mtu kuja kuendelea na diploma haito wezekana, au hakuna chuo kinacho toa diploma ya COMMUNITY HEALTH????