Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Ila hii biashara nayo itakuwa inalipa sana,naona fuso kirumba mwaloni zinapakia daily,
kuna dada wa kikenya alikuwa anafuata mwaloni hao dagaa wachafu kwa ajili ya kupeleka nairobi kwenye viwanda vya chakula cha kuku ,alikuwa na pesa chafu ,
nadhani hao wanaopeleka arusha huwa wanavuka hadi Nai.
Kuna jamaa mkenya ana kampuni ya marketing research,yeye unamlipa pesa si nyingi anafanya legwork kuzunguka Nai kulitafuta chimbo,sema link yake ndo iko mbali nikiipata ntaiweka hapa,yeye anaweza kukupa infor zote kuanzia bei,procedure,mbinu na contact za hivyo viwanda vya chakula cha kuku na wala fee yake haizidi 20,000 ya kibongo
Unaonekana mkuu umeshiba mahela!dah...!