Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Asante Mkuu ukifanikiwa kupata taarifa yeyote nitashukuru sana.
Mkuu nmerudi.....
Nmeulizia huo uduvi juzi apaa nlipata nafasi nlikuwa sokoni kilo yake ilikua 7,000....Ila Kama upo tanga unaweza ukaweka order kwa wavuvi nadhani Bei itapungua zaidi ya hapa
 
Mkuu nmerudi.....
Nmeulizia huo uduvi juzi apaa nlipata nafasi nlikuwa sokoni kilo yake ilikua 7,000....
Ila Kama upo tanga unaweza ukaweka order kwa wavuvi nadhani Bei itapungua zaidi ya hapa
Asante sana Mkuu kwa taarifa nzuri kutoka kwako je nikiwa Tanga ni maeneo gani ya mwambao ninaweza kuwapata wavuvi wa uduvi?
 
Habari zenu wadau... Leo nataka niwaletee biashara ya kuanza na mtaji mdogo... Biashara ambayo kama wewe Ni mwanafunzi wa chuo au mama wa nyumbani au hata mfanyakazi unaetaka kujipatia kipato Cha ziada itakufaa Sana.. biashara hii usipokua na aibu itakutoa vizuri tuu...

Hii biashara unaweza kuanza na mtaji wa 55,000... Ni biashara ya dagaa...
Kwenye hii ela utapata dagaa ndoo kubwa ambao wanafika kilo kumi...
KWENYE JINSI YA KUWA PACK SASA..
Unaweza ukafunga
gram 100 ukauza TSH 1,000
gram 50 ukuaza TSH 500.....
Sasa kwenye kila kilo moja utapata utapata packet 10 za elfu Moja au packets 20 za 500... Kwenye kila kilo moja utapata faida ya tsh 4500 ambapo kwenye kilo kumi utapata faida ya tsh 45,000 Kama kila week ukiweza kuuza Hadi kilo kumi natano hadi ishirini utajikuta mwisho wa mwezi umesave hela nzuri sanaaa...
Natamani maswali na maoni yote niyajibie humu humu ili hata ambao watakua sio wateja wapate kitu Cha kujifunza..
Ahsante sana aiseee
 
Habari zenu wadau... Leo nataka niwaletee biashara ya kuanza na mtaji mdogo... Biashara ambayo kama wewe Ni mwanafunzi wa chuo au mama wa nyumbani au hata mfanyakazi unaetaka kujipatia kipato Cha ziada itakufaa Sana.. biashara hii usipokua na aibu itakutoa vizuri tuu...

Hii biashara unaweza kuanza na mtaji wa 55,000... Ni biashara ya dagaa...
Kwenye hii ela utapata dagaa ndoo kubwa ambao wanafika kilo kumi...
KWENYE JINSI YA KUWA PACK SASA..
Unaweza ukafunga
gram 100 ukauza TSH 1,000
gram 50 ukuaza TSH 500.....
Sasa kwenye kila kilo moja utapata utapata packet 10 za elfu Moja au packets 20 za 500... Kwenye kila kilo moja utapata faida ya tsh 4500 ambapo kwenye kilo kumi utapata faida ya tsh 45,000 Kama kila week ukiweza kuuza Hadi kilo kumi natano hadi ishirini utajikuta mwisho wa mwezi umesave hela nzuri sanaaa...
Natamani maswali na maoni yote niyajibie humu humu ili hata ambao watakua sio wateja wapate kitu Cha kujifunza..
Sasa hizo dagaa za mwanza naweza kuziptaje japokuwa soko cyo shida kwa kweli coz kwa dar Kila kitu kinaenda Ila ww tu na utayar wako
 
HABARI ZENU WAKUU
Ni Muda WA Miezi Mitano sasa Toka nihitimu Chuo pale Chuo kikuu cha Mtakatifu Agostino (Mwanza) Tawi kuu. Namshukru Mungu nkapata Degree yangu ya Kwanza ya Falsafa na Elimu, lakini kwa kipindi chote hicho mpaka Sasa hivi nafanya Temporary work kwa Rafiki yang kipenzi (Boss Fulani) mmiliki WA Magari kadhaa ya mizigo na Mnunuzi WA Tani za Dagaa kutoka mikoa ya Mara na Mwanza.

Kiukweli Nje ya Business ya Magari ya Mizigo ( Semi - Trailers) especially Scania R 420 , 114 n.k Jamaa hyu Business ya Dagaa inamlipa Sana kuliko Magari na PIA sisi kama wasimamizi wake Maisha yanaenda japo kazi Ni Ngumu ILA masilahi yapo .
Biashara hii Dagaa hufanywa kwa kuchukua Dagaa kutoka huku na kupelekwa Dar, Congo, Tunduma, Arusha na kwingineko Na inalipa Sana ukizingatia yafuatayo, Mtaji, Soko, Muda WA kusimamia na juhudi na watu (Social capital), n.k

Mimi kesho na kesho na kesho ntaka Nijipange na nianze Mdogo mdogo
Karibuni Musoma karibuni Kwenye Dagaa. Tafadhali Mchanganuo kama ifuatavo; Dagaa inayonunulia Ni Dagaa chafu (Chakula ya kuku) na Dagaa safi Chakula ya Binadam
1. Chakula ya kuku Inauzwa kwa Dumu Yan ndoo ya Litre 20 , Mara nyingi dagaa hii ya Chakula ya kuku huuzwa kwa Tsh. Elfu 10,000/= mpaka Elfu sita na Mia Tano kwa Kama Dagaa imepatikana nyingi Sana bei yake hususha Automatically Kwan kwenye Masoko Hufurika Sana.


UANDAAJI Chakula ya kuku huandaliwa kwa kuwekwa kwenye Gunia kubwa ambapo Kila gunia hubeba Dumu 21 na @ Gunia likipimwa hutoa kilo kuanzia 120- 95.

USAFIRI Baada ya kuandaliwa na kuwa tayari hupakiwa kwenye Magari ya mizigo na kupelekwa Kwenye Masoko kama vile Dar, Congo,Tunduma, Arusha n.k . bei ya Usafiri Inategemea Mzigo Wako na PIA Maelewano na Mwenye Gari lakini kama Semi- Trailer lenye Contena Kama vile Scania R420 Mara nyingi hubeba Gunia 270 na hapo hutegemea upakiaji WA Makuli husika Na bei hapa Kwa Gari huwa Ni one million and point six 1,600,000/=.

BEI kiwandani dagaa hizi huuzwa kwa kilo ambapo Kilo Ni 3500- 2500 Inategemea Upatikanaji WA Bidhaa na Kiwanda husika.
Kwa hyo gunia Lenye Dumu 21, Na lenye Thamani ya Tsh. 210,000= na Gharama ya 25,000 Uaandaji usafiri , ushuru na Mengineyo na lenye kilo 120 Ambapo @ kilo 3500- 2500 .
Hapo ukipiga Hesabu utakuta kwamba Ni
120*3500= 420000
420000- 235000= 185000
Au 95*2500= 237500 Kama Dagaa umeinunua kwa bei nzuri na umebana Mapato saswa Sawa.

MASOKO
kwa Dar ndo habari yake Kwan ndo Viwanda vingi vya Chakula ya kuku hupatikana Hasa kwa Falcon, Kitunda kwa Matinde few to mention just Na hapa kwenye vizuri kufatilia mwenyewe kuepusha madalali na matapeli WA mujini , Nakaribisha Kitu Maswali, Matusi,Kejeli na Mengine.

MAWASILIANO

1. 0767258286 WhatsApp
2. 0785303573
3. 0673258086

KARIBUNI MUSOMA KWENYE DAGAA WA CHAFU (CHAKULA YA KUKU).
Hupatikan namba zte boss
 
Habarini wajasiriamali wenzangu, nimerudi mezani naomba msaada kuhusu biashara ya dagaa wa Mwanza. Natamani niwe nasafirisha mikoa ya Morogoro au Dodoma. Mtaji nilionao ni kama laki na nusu, je itatosha? Na je ni vitu gani vya kuzingatia na mimi kwa sasa nipo Mwanza nawaza niwe nazituma Moto/Dodoma.
 
Laki tano inatosha kwa kuanzia,itakuwa taratibu kama utakuwa na nidhamu ya fedha.,usilete kwanza mikoani...we we nenda kisiwa goziba,au kimoyomoyo,mlumo,ghana,ukawe unanunua dagaa wabichi unawaanika huko huko wakikauka unauzia huko huko mpaka mtaji utakapokuwa mkubwa kuweza kusafirisha mikoani,

AU huko huko visiwani nunua then safirisha uje uuzie kirumba mwaloni...usihangaike kupeleka mikoani...
Sina uchoyo na wazo la biashara kumsaidia mtu yoyoye.
Mwingine anayehitaji ushauri zaidi wa biashara ya kufanya sema hapa nitakupa cha kufanya ili mradi tu uwe na ule msukumo ndani ya moyo wako kufanya biashara bila kutafuta sababu.
Habarini wajasiliamali wenzang nimerudi mezani naomba MSAADA KUHUSU biashara ya dagaa wa mwanzo natamani niwe nasafirisha mikoa ya morogor au dodoma mtaji nilio nao n Kam laki na nusu je itatosha na je Ni vitu gani vy kuzingatia na Mimi kwa Sasa nipo mwanza nawaza niwe nazituma Moto/dodoma ....
 
Hamasika zaidi kwa hawa dagaa wa kukaanga dada.

Mimi nimeona nianzie hapa kwa mtaji usiojulikana (namaanisha sina hela mfukoni afadhali wewe una laki na chenchi)

Kwa taarifa zaidi nicheki whatsapp, 0683011003
IMG-20191102-WA0051.jpeg
IMG-20191102-WA0054.jpeg
IMG-20191102-WA0035.jpeg
IMG_20191009_145119.jpeg
 
Laki tano inatosha kwa kuanzia,itakuwa taratibu kama utakuwa na nidhamu ya fedha.,usilete kwanza mikoani...we we nenda kisiwa goziba,au kimoyomoyo,mlumo,ghana,ukawe unanunua dagaa wabichi unawaanika huko huko wakikauka unauzia huko huko mpaka mtaji utakapokuwa mkubwa kuweza kusafirisha mikoani,

AU huko huko visiwani nunua then safirisha uje uuzie kirumba mwaloni...usihangaike kupeleka mikoani...

Sina uchoyo na wazo la biashara kumsaidia mtu yoyoye.
Mwingine anayehitaji ushauri zaidi wa biashara ya kufanya sema hapa nitakupa cha kufanya ili mradi tu uwe na ule msukumo ndani ya moyo wako kufanya biashara bila kutafuta sababu.
Boss! Nimependa
Laki tano inatosha kwa kuanzia,itakuwa taratibu kama utakuwa na nidhamu ya fedha.,usilete kwanza mikoani...we we nenda kisiwa goziba,au kimoyomoyo,mlumo,ghana,ukawe unanunua dagaa wabichi unawaanika huko huko wakikauka unauzia huko huko mpaka mtaji utakapokuwa mkubwa kuweza kusafirisha mikoani,

AU huko huko visiwani nunua then safirisha uje uuzie kirumba mwaloni...usihangaike kupeleka mikoani...

Sina uchoyo na wazo la biashara kumsaidia mtu yoyoye.
Mwingine anayehitaji ushauri zaidi wa biashara ya kufanya sema hapa nitakupa cha kufanya ili mradi tu uwe na ule msukumo ndani ya moyo wako kufanya biashara bila kutafuta sababu.

Boss! Nimependa Sana ushauri wako,na nimependa Kwa jinsi ulivoonesha moyo wa kumsaidia mtu kimawazo.
Binafsi napenda Sana biashara ya dagaa Ila Mimi nafanya biashara ya dagaa chafu Kwa ajili ya chakula ya kuku. Niseme ukweli namtumia dalali ambaye nikinunua mzigo huku mwanza nafunga nakumkabidhi dagaa anapeleka kiwandani alafu akimaliza kuuza ananiletea mtaji na faida yangu.

Nafanya vile kwasabb nafanya kazi za serikali na siwezi kuzifanya mwenyewe. Wala siwezi kupata mda wa kupeleka dagaa mwenyewe,kwahiyo mwanza nachukua let say dagaa wa milion 3 au mil5 namkabidhi. Anaenda kuuza Arusha na sijui anapata faida kiasi gani Ila Mimi ninachojali aniletee faida nzuri. Na mpaka sasa dalali huyo Niko naye ndo tunafanya biashara wote,NAOGOPA KUMWAMBIA TWENDE WOTE MAANA ATAONA KAMA NIMEMSTUKIA NA ATAWEZA KUNIKIMBIA,KUSEMA KWELI SIJUI MASOKO YAKO WAPI ARUSHA NA SIJAWAHI KUFIKA JAPO NATAMANI NIFANYE MWENYEWE.

MWENYE KUNISAIDIA MAWAZO PLEASE 0764789563
 
Ila hii biashara nayo itakuwa inalipa sana,naona fuso kirumba mwaloni zinapakia daily,
kuna dada wa kikenya alikuwa anafuata mwaloni hao dagaa wachafu kwa ajili ya kupeleka nairobi kwenye viwanda vya chakula cha kuku ,alikuwa na pesa chafu ,
nadhani hao wanaopeleka arusha huwa wanavuka hadi Nai.

Kuna jamaa mkenya ana kampuni ya marketing research,yeye unamlipa pesa si nyingi anafanya legwork kuzunguka Nai kulitafuta chimbo,sema link yake ndo iko mbali nikiipata ntaiweka hapa,yeye anaweza kukupa infor zote kuanzia bei,procedure,mbinu na contact za hivyo viwanda vya chakula cha kuku na wala fee yake haizidi 20,000 ya kibongo
 
Boss! Nimependa


Boss! Nimependa Sana ushauri wako,na nimependa Kwa jinsi ulivoonesha moyo wa kumsaidia mtu kimawazo.
Binafsi napenda Sana biashara ya dagaa Ila Mimi nafanya biashara ya dagaa chafu Kwa ajili ya chakula ya kuku. Niseme ukweli namtumia dalali ambaye nikinunua mzigo huku mwanza nafunga nakumkabidhi dagaa anapeleka kiwandani alafu akimaliza kuuza ananiletea mtaji na faida yangu.

Nafanya vile kwasabb nafanya kazi za serikali na siwezi kuzifanya mwenyewe. Wala siwezi kupata mda wa kupeleka dagaa mwenyewe,kwahiyo mwanza nachukua let say dagaa wa milion 3 au mil5 namkabidhi. Anaenda kuuza Arusha na sijui anapata faida kiasi gani Ila Mimi ninachojali aniletee faida nzuri. Na mpaka sasa dalali huyo Niko naye ndo tunafanya biashara wote,NAOGOPA KUMWAMBIA TWENDE WOTE MAANA ATAONA KAMA NIMEMSTUKIA NA ATAWEZA KUNIKIMBIA,KUSEMA KWELI SIJUI MASOKO YAKO WAPI ARUSHA NA SIJAWAHI KUFIKA JAPO NATAMANI NIFANYE MWENYEWE.

MWENYE KUNISAIDIA MAWAZO PLEASE 0764789563


Duh..!kuna mtu anapeleka dar hao dagaa wa chakula cha kuku..anasema ukipeleka trip moja ww ni tajiri!bas kweli anakupiga!lakin km inakulipa sio mbaya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom