Msaada kuhusu kozi ya afya nitayoweza kusoma

azimio ernest

Member
Jun 6, 2017
45
12
Nimemaliza form 4mwaka 2016 nakupata 2 ya 20 MATOKEO NI KAMA IFUATAVYO ,chemistry C,biology,B, Phisics C,EnglishC,GeographC,kiswahiliC,CivicsC,historyC,MathF

Je kozi ya clinical medicine niki-apply naweza chaguliwa? Msaada tafadhali
 
Hapo kwenye hesabu ni msala.. Maana cku hizi wanaangalia sana hiyo..

Anyway clinical medicine huwa wanaangalia physics, biology na chemistry
 
Nimemaliza form 4mwaka 2017 nakupata 2 ya 20 MATOKEO NI KAMA IFUATAVYO ,chemistry C,biology,B, Phisics C,EnglishC,GeographC,kiswahiliC,CivicsC,historyC,MathF je coz ya clinical medicine niki apply naweza chaguliwa?MSAADA
maths f invalid password
 
Back
Top Bottom