Sorry nilikuja kasi nikidhani ni kuhusu matumizi yake hasa kirohoHabar wakulima
Naomba aliewah kulima kitunguu saumu aniambie kinakaa muda gani shamba na kipind gan huwa ni mwisho wa kumwagia maji.
Ntashukuru
haitazidi mitanoShukran sana mkuu,je sehemu kma moro nayo itkuwa mitano?