Msaada:Kuhusu kifaa wanachotumia traffic police kupima mwendo wa gar

Nukta5

JF-Expert Member
Jun 7, 2014
1,175
1,273
Kwa anejua msaada tafadhali, je kile kifaa wanachotumia kupima mwendo wa gari je kina uwezo wa kupima mwendo wa gar kwa nyuma nimekutana na hiyo case traffic wamepiga picha gari kwa nyuma then wakarushiana kwenye sim zao wanamwambia kwamba kuna sehemu alizidisha speed. Kwa uelewa wangu wa physics speed ni sawasawa na umbali ugawanye na time uliotumia kufika destination point
 
Ni kweli hicho kifaa kinaweza pima hata kwa nyuma japo kitasoma mfano -72km/hr badala ya 72km/hr
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom