Msaada kuhusu kichinjio changu

Liobite

Senior Member
Sep 10, 2013
125
35
Habari wana-JF,

Mimi nilijiandikisha kwa mara ya kwanza kwenye daftari la kudumu la wapiga kura nikiwa Dodoma.Na sasa nipo mkoani lindi hivyo basi baada ya NEC kutoa taarifa kuwa wote waliojiandikisha ktk maeneo ambayo hawatakuwepo siku ya uchaguzi waende wakabadili taarifa zao kwenye maeneo na vituo ambavyo watakuwepo siku ya uchaguzi,na nimebadili taarifa zangu.

Sasa cha ajabu nimeingia kwenye website ya NEC==>#www.nec.go.tz kwenye sehemu ya taarifa za mpiga kura nimeingiza namba za KICHINJIO changu ili nihakiki naambiwa #SAMAHANI_HAUJAJIANDIKISHA_KWENYE_DAFTARI_LA_KUDUMU_
Sasa tatizo ni nini,au nimekatwa?

Naombeni msaada wenu wakuu nifanyaje ili niweze kupiga kura?
 
#UKAWA_IN_BLOOD....Watanzania wanataka mabadiliko(J.K Nyerere,1995)....ukikataa kunishauri eti kwakuwa wewe ni chama chenye kutu,,,kaa pembeni;watu wa #UMOJA_WA_KATIBA_YA_WANANCHI_WATAKUJA_kunisaidia
Subiri Siku nane kabla ya upigaji kura uangalie umepangiwa kituo gani, usipoona jina lako mtume mtu kule ulikokuwa kabla kama jina lako lipo Kule basi nenda kapige kulekule lakini pia jaribu kurudia tena kuangalia maana inawezekana wakati unahakiki mtandao ulikuwa chini
 
Subiri Siku nane kabla ya upigaji kura uangalie umepangiwa kituo gani, usipoona jina lako mtume mtu kule ulikokuwa kabla kama jina lako lipo Kule basi nenda kapige kulekule lakini pia jaribu kurudia tena kuangalia maana inawezekana wakati unahakiki mtandao ulikuwa chini

mkuu mimi hata jina langu likionekana lipo mkoa wa 10 toka nilipo HAKIKA lazima nikapige tuu kura kwa wapinzani .
 
kijana inaonekana una majivuno sana kijana,,,,basi kama unaleta kibri,kura hupigi ng'o.....

Kijana unaonekana mbaguzi sana kijana mwenzangu.....kwanini uniulize niko chama gani wakati mimi nimeomba msaada? nimewasiliana na mkurugenzi wa jimbo langu la uchaguzi kasema niende ofisi yao ya NEC.
 
Kijana unaonekana mbaguzi sana kijana mwenzangu.....kwanini uniulize niko chama gani wakati mimi nimeomba msaada? nimewasiliana na mkurugenzi wa jimbo langu la uchaguzi kasema niende ofisi yao ya NEC.


Pigania haki yako mpaka kieleweke, muda bado sana utafaulu tu.
 
Back
Top Bottom