apologize
JF-Expert Member
- Jul 22, 2015
- 710
- 568
Habarini wakuu?
Cheti changu cha kuzaliwa kimekosewa kuandikwa kidogo jina langu na limepishana na jina la liliopo kwenye vyeti vya kitaaluma. Ambapo nimepata changamoto halmashauri kunipokea katika ajira mpya.
Nilikuwa naomba kujua kwa hapa Dar es salaam mahakamani inayohusika ni ipi na iko maeneo gani pamoja na gharama ya kiapo
Asanteni
Cheti changu cha kuzaliwa kimekosewa kuandikwa kidogo jina langu na limepishana na jina la liliopo kwenye vyeti vya kitaaluma. Ambapo nimepata changamoto halmashauri kunipokea katika ajira mpya.
Nilikuwa naomba kujua kwa hapa Dar es salaam mahakamani inayohusika ni ipi na iko maeneo gani pamoja na gharama ya kiapo
Asanteni