musicarlito
Senior Member
- Dec 29, 2020
- 176
- 289
Habari wakuu,
Naomba mwenye taarifa au uzoefu na maeneo tajwa hapo juu kwa utafutaji
Kifupi nilibahatika kuajiriwa na taasisi kubwa ya kifedha hapa nchini, mshahara haukuwa mbaya, nilitaka kubadili mazingira ya kazi na kujiajiri kwenye biashara, vile isivyo bahati nilifeli.
Tangu hapo nilirudisha mpira kwa kipa(nyumbani), kusaidiana na familia kazi za kilimo, sijisifu ila niko hodari na mwenye bidii sana pia kwa kazi za mikono hasa kilimo, na lengo la kutaka kwenda huko ni kutafuta mtaji wa kilimo.
Kinachofanya kutaka kuachana nazo ni manyanyaso ya familia na kudharaulika hasa baada ya 'things to fall apart'...hii imefanya niamue kutafuta mwenyewe kwa njia yoyote ngumu halali, ilimradi heshima yangu iwepo.
Nitafurahi sana kwa michango yenu nyote hata ile ambayo sintoifurahia nitafurahi
Wenu katika kulijenga taifa
musicarlito
Naomba mwenye taarifa au uzoefu na maeneo tajwa hapo juu kwa utafutaji
Kifupi nilibahatika kuajiriwa na taasisi kubwa ya kifedha hapa nchini, mshahara haukuwa mbaya, nilitaka kubadili mazingira ya kazi na kujiajiri kwenye biashara, vile isivyo bahati nilifeli.
Tangu hapo nilirudisha mpira kwa kipa(nyumbani), kusaidiana na familia kazi za kilimo, sijisifu ila niko hodari na mwenye bidii sana pia kwa kazi za mikono hasa kilimo, na lengo la kutaka kwenda huko ni kutafuta mtaji wa kilimo.
Kinachofanya kutaka kuachana nazo ni manyanyaso ya familia na kudharaulika hasa baada ya 'things to fall apart'...hii imefanya niamue kutafuta mwenyewe kwa njia yoyote ngumu halali, ilimradi heshima yangu iwepo.
Nitafurahi sana kwa michango yenu nyote hata ile ambayo sintoifurahia nitafurahi
Wenu katika kulijenga taifa
musicarlito