Kama matokeo yako ya kudato cha nne una ufaulu mzuri wa MATH na PHYSICS unaweza anza na certificate mwaka 1 ndio usome diploma. Tofauti na hapo utasoma diploma kwenye collage za uchochoroni ambapo mwisho wa siku lazima ujuteKwa Matokeo haya
History E
Geography S
English D
Naweza kusoma diploma in ICT, IT au CS
Mkuu ICT ndo imeunganisha hadi IT?? I mean ukisoma ICT utakua umesoma yaliyomo kwenye IT?Kama matokeo yako ya kudato cha nne una ufaulu mzuri wa MATH na PHYSICS unaweza anza na certificate mwaka 1 ndio usome diploma. Tofauti na hapo utasoma diploma kwenye collage za uchochoroni ambapo mwisho wa siku lazima ujute
Sijasoma IT wala ICT ila ukiwauliza waliosoma wanakuwa wanapingana.Mkuu ICT ndo imeunganisha hadi IT?? I mean ukisoma ICT utakua umesoma yaliyomo kwenye IT?
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
So ww Unaonaje mkuuSijasoma IT wala ICT ila ukiwauliza waliosoma wanakuwa wanapingana.
Hiyo ni taalum, huwezi kuongea kulingana na mtazamo binafsi.So ww Unaonaje mkuu I
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Certificate ni 2 yrs mkuuKama matokeo yako ya kudato cha nne una ufaulu mzuri wa MATH na PHYSICS unaweza anza na certificate mwaka 1 ndio usome diploma. Tofauti na hapo utasoma diploma kwenye collage za uchochoroni ambapo mwisho wa siku lazima ujute
Certificate NTA 4 MWAKA 1, DIPLOMA NTA 5&6 MIAKA MIWILI JUMLA MIAKA 3, KWA MUST, ATC, NA DIT. HUYU ATASOMA BACHEROR MIAKA 3 BADALA YA 4. TOFAUTI NA HAPO PROSPECTUS watakuwa wanatoa za uongo.
Kwa vigezo ulivyotaja means anajiunga diploma moja kwa moja na si certificate ya (veta) na vigezo ni awe na D kwenye masomo ya science pamoja na english.Certificate NTA 4 MWAKA 1, DIPLOMA NTA 5&6 MIAKA MIWILI JUMLA MIAKA 3, KWA MUST, ATC, NA DIT. HUYU ATASOMA BACHEROR MIAKA 3 BADALA YA 4. TOFAUTI NA HAPO PROSPECTUS watakuwa wanatoa za uongo.
Hivyo unaweza soma DIPLOMA kwa hivyo vyuo vya ufundi bila kuanza na certificate?Kwa vigezo ulivyotaja means anajiunga diploma moja kwa moja na si certificate ya (veta) na vigezo ni awe na D kwenye masomo ya science pamoja na english.
Kuhusu kusoma miaka mitatu ni sawa kwa kuwa yeye atasomea BACHELOR IN ENGINEERING(B.ENG) na si BACHELOR OF SCIENCE IN ENGINEERING(BSE)ambayo hii wanasomea waliopita direct(advance).
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo unaweza soma DIPLOMA kwa hivyo vyuo vya ufundi bila kuanza na certificate?
Ndio! Unapokuwa na ufaulu wanaoutaka ni utajiandikisha unasoma ordinary diploma ambapo ina contain three years na ina level tatu(4,5 na 6) 4 ikichukuliwa kama basic certificate.
Ila kama hana ufaulu wanaoutaka itabidi aanzie certificate ya veta ambayo ni miaka 2 kiujumla kisha ndo aende kuanza level hizo tatu yaani diploma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ulichokiongea ndicho ninacho kifahamu.Ndio! Unapokuwa na ufaulu wanaoutaka ni utajiandikisha unasoma ordinary diploma ambapo ina contain three years na ina level tatu(4,5 na 6) 4 ikichukuliwa kama basic certificate.
Ila kama hana ufaulu wanaoutaka itabidi aanzie certificate ya veta ambayo ni miaka 2 kiujumla kisha ndo aende kuanza level hizo tatu yaani diploma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Certificate ya VETA, level 1, 2 miaka miwili kuna mtihani wa CBA II ukifaulu unaendelea na level 3, jumla inakuwa miaka mitatu. Ndio unapata VC3
Sent using Jamii Forums mobile app
Je na utaratibu wa kusoma NVA(NATIONAL VOCATIONAL AWARDS) upoje?Ndio! Unapokuwa na ufaulu wanaoutaka ni utajiandikisha unasoma ordinary diploma ambapo ina contain three years na ina level tatu(4,5 na 6) 4 ikichukuliwa kama basic certificate.
Ila kama hana ufaulu wanaoutaka itabidi aanzie certificate ya veta ambayo ni miaka 2 kiujumla kisha ndo aende kuanza level hizo tatu yaani diploma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaotaka kusomea NVA kwanza wawe na sifa hiziJe na utaratibu wa kusoma NVA(NATIONAL VOCATIONAL AWARDS) upoje?
Hapana mkuu, mtu aliyesoma ICT anashabihiana na mtu wa electrinics and telecomunication kwa karibu sana na ndio mana mara nyingi Chuo kinachofundisha kozo mojawapo basi hiyo nyingine inakuwa haipo, mfano pale DIT wana ele & tel, st. Joseph wana ICT pekee(hawa wanatofautiana kidogo sana)Mkuu ICT ndo imeunganisha hadi IT?? I mean ukisoma ICT utakua umesoma yaliyomo kwenye IT?
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk