SECRET AGENT
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 252
- 487
WanaJF nisaidieni kwa hili, nilikua natafuta hii laptop HP SPECTRE 360X yenye specifications hizi:
na nmejaribu kuangalia wauzaji nmekutana na mkanganyiko mana Bei yake inakua 1.8 M wengine 2 M .
Kuna muuzaji nmekutana nae naye anauza laptop hiyo japo specification zmetofautiana kidogo yeye ina 2GB Nvidia GeForce graphics card, Inch 15.6, Touch Screen, Core i7, Ram 8GB, SSD 250.
Yeye anauza 900,000 ni Refurb. Wauzaj wengi hazina NVIDIA GEFORCE GRAPHICS CARD na pia ni Core i5.
Naomben msaada kwa mwenye uzoefu nisije nikapigwa hapa kwanini huyu muuzaji bei yake imekua ndogo sana.
na nmejaribu kuangalia wauzaji nmekutana na mkanganyiko mana Bei yake inakua 1.8 M wengine 2 M .
Kuna muuzaji nmekutana nae naye anauza laptop hiyo japo specification zmetofautiana kidogo yeye ina 2GB Nvidia GeForce graphics card, Inch 15.6, Touch Screen, Core i7, Ram 8GB, SSD 250.
Yeye anauza 900,000 ni Refurb. Wauzaj wengi hazina NVIDIA GEFORCE GRAPHICS CARD na pia ni Core i5.
Naomben msaada kwa mwenye uzoefu nisije nikapigwa hapa kwanini huyu muuzaji bei yake imekua ndogo sana.