mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,761
Duh kwa hiyo hao mbwa walimsahau hadi mfanyakazi wa hapo,kama ni hvyo hawana masiharaWewe usiyejua Mbwa na kimbembe chao ni bora ukaufunga mdomo tu. Kuna jomba mmoja Mbezi ya chini kule alikuwa ni shamba boy na alikuwa anawahudumia hao ma GS, hiyo siku akawafungulia halafu akatoka kwenda kutafuta kiroba. Wakati wa kurudi akakuta geti limeshafungwa na hakumtaarifu mtu alipokuwa anatoka. Akaona hapa heri aruke fensi kuingia ndani, ile kutua tu chini wale mbwa walikuwa watatu wakamtaitisha! Bwana bwana, waliondoka na Kende za yule jamaa, kupiga kelele wanakuja kuangalia ni nani kumbe shamba boy, wakamuwahisha hosp akakatikia njiani.