Oflam
Member
- Nov 27, 2020
- 7
- 6
Msaada tafadhali juu ya scenario hii!
Kuna jamaa ana mji wake na katika mji huo ameweka ulinzi wa Mbwa hawa America Broiler pamoja na fensi, usiku kuna jamaa alienda kwa lengo la kuiba kwake alipofika eneo la tukio akaruka ukuta ili aweze kuingia ndani baada ya yeye kutua ndani akakutana na fujo za wale mbwa wakamng'ata mpaka jamaa akafa.
Mwenye nyumba kesho yake akaenda kutoa taarifa Polisi alipofika tu kutoa taarifa akakamatwa na kuwekwa kizuizini na kisha kufunguliwa mashtaka ya mauaji.
Je, hii iko vipi upande wa utetezi wa jamaa? Au jambo hili limekaa vipi kisheria?
Kuna jamaa ana mji wake na katika mji huo ameweka ulinzi wa Mbwa hawa America Broiler pamoja na fensi, usiku kuna jamaa alienda kwa lengo la kuiba kwake alipofika eneo la tukio akaruka ukuta ili aweze kuingia ndani baada ya yeye kutua ndani akakutana na fujo za wale mbwa wakamng'ata mpaka jamaa akafa.
Mwenye nyumba kesho yake akaenda kutoa taarifa Polisi alipofika tu kutoa taarifa akakamatwa na kuwekwa kizuizini na kisha kufunguliwa mashtaka ya mauaji.
Je, hii iko vipi upande wa utetezi wa jamaa? Au jambo hili limekaa vipi kisheria?