Msaada kuhusu frequency za TBc 1 na Star tv

charle

Member
Sep 17, 2011
9
0
Habari za jumapili wanajamii forums naomba mwenye kufahamu jinsi ya kupata hizi frequency za TBc 1 na STAR TV Maana nashindwa kuelewa kama wamebadilisha amavipi mwanzoni ilikuwa zote zinaonyesha vizuri lakini sasa zimekata toka mwaka jana mimi niko mtwara mwenye kujua naomba tafadhali anijuze
 
Habari za jumapili wanajamii forums naomba mwenye kufahamu jinsi ya kupata hizi frequency za TBc 1 na STAR TV Maana nashindwa kuelewa kama wamebadilisha amavipi mwanzoni ilikuwa zote zinaonyesha vizuri lakini sasa zimekata toka mwaka jana mimi niko mtwara mwenye kujua naomba tafadhali anijuze

Freq zao ni zilezile Tbc1 3892/4444 na Star 3884/4900
 
Habari za jumapili wanajamii forums naomba mwenye kufahamu jinsi ya kupata hizi frequency za TBc 1 na STAR TV Maana nashindwa kuelewa kama wamebadilisha amavipi mwanzoni ilikuwa zote zinaonyesha vizuri lakini sasa zimekata toka mwaka jana mimi niko mtwara mwenye kujua naomba tafadhali anijuze

frequence zilizobadilika ni za startv peke ake, tbc zilibak vile vile so kama na tbc haipo, mtafte fundi mkuu
 
Jamani nami naomba msaada nili reset data base kupitia menu ya remote na kusababisha kufuta channel zote.Dish futi 6
 
Jamani nami naomba msaada nili reset data base kupitia menu ya remote na kusababisha kufuta channel zote.Dish futi 6

kama una huhakika hujaugusa ungo kule uliko, na inakuonesha NO cHANNel, sio No signal... Nenda menu> installation> antenna settings then tafuta intelsat 906 64.2 E, kwenye lnb power inabidi iwe 5150 au 5750 na sio zaidi ya hapo (k@m sijakosea) then ukimaliza bonyeza menu, nenda manua search angalia frequence na symbol rate then search(hii inadepend kama nae alitumia hiyo hiyo satellite) kama hakuitumia inabidi uanze kujaza.. Kwa kukusaidia anza na itv.. Andika 3643 h 8545 (inategemea fibre ya kwenye lnb imekaaje so unaweza weka vertical badala ya horizontal) then search... HUkUFAFanua kama unatumia lnb zaidi ya moja.. Kama ni zaidi ya moja kuna disc switch pale kati.. Angalia cband ilipokaa kwenye port gani, kama ni 1 2 3 au 4. Nyingine wameziname A b c na d. So inabidi kule kwenye antenna settings ilipoandikwa discq... Urekebishe..
Nb.. Ukifasnikiwa kurudisha za itv, basi utakuja hapa kuomba frequence kwa wakuu watakusaidia,
regards
 
Ingia google andika ( lyngsat ) ingia kwenye home page alafu fungua angle 70- 0 humo ndani utakuta satelite za hizo angle ingia angle 64 utapata data zote za tv tanzania;pia angle 68.5 intesat 20 utapata za nigeria ku band
 
Mungelimuuliza kwanza anatumia risiva aina gani hapo ingelikuwa rahisi kumuelekeza.
 
kama una huhakika hujaugusa ungo kule uliko, na inakuonesha NO cHANNel, sio No signal... Nenda menu> installation> antenna settings then tafuta intelsat 906 64.2 E, kwenye lnb power inabidi iwe 5150 au 5750 na sio zaidi ya hapo (k@m sijakosea) then ukimaliza bonyeza menu, nenda manua search angalia frequence na symbol rate then search(hii inadepend kama nae alitumia hiyo hiyo satellite) kama hakuitumia inabidi uanze kujaza.. Kwa kukusaidia anza na itv.. Andika 3643 h 8545 (inategemea fibre ya kwenye lnb imekaaje so unaweza weka vertical badala ya horizontal) then search... HUkUFAFanua kama unatumia lnb zaidi ya moja.. Kama ni zaidi ya moja kuna disc switch pale kati.. Angalia cband ilipokaa kwenye port gani, kama ni 1 2 3 au 4. Nyingine wameziname A b c na d. So inabidi kule kwenye antenna settings ilipoandikwa discq... Urekebishe..
Nb.. Ukifasnikiwa kurudisha za itv, basi utakuja hapa kuomba frequence kwa wakuu watakusaidia,
regards

mkubwa na mimi nilifuta bahati mbaya kale ka lnb kadogo kama sikosei ni ku band, nahitaji lnb power
 
Nashukuru kwa msaada wenu,naomba kesho nijaribu ntawapa feedback.Natumia RECEIVER SRT 4620 II,discqC12.no signal&chanel
 
Katika intelsat 906 at 64'E freq:3891 Pol. H S.Rate 4444 TBC 1 na Star tv Freq:3884 Pol:H S.rate 4900

Toka kwa MrArsenal
 
mkubwa na mimi nilifuta bahati mbaya kale ka lnb kadogo kama sikosei ni ku band, nahitaji lnb power

lnb power weka yeyote kati ya hizo.. Ila isiwe 5150 au 5750.. Chukua ya juu kabisa.. Bati satellite inabidi iwe inasoma neno ku mwishoni
 
kama una huhakika hujaugusa ungo kule uliko, na inakuonesha NO cHANNel, sio No signal... Nenda menu> installation> antenna settings then tafuta intelsat 906 64.2 E, kwenye lnb power inabidi iwe 5150 au 5750 na sio zaidi ya hapo (k@m sijakosea) then ukimaliza bonyeza menu, nenda manua search angalia frequence na symbol rate then search(hii inadepend kama nae alitumia hiyo hiyo satellite) kama hakuitumia inabidi uanze kujaza.. Kwa kukusaidia anza na itv.. Andika 3643 h 8545 (inategemea fibre ya kwenye lnb imekaaje so unaweza weka vertical badala ya horizontal) then search... HUkUFAFanua kama unatumia lnb zaidi ya moja.. Kama ni zaidi ya moja kuna disc switch pale kati.. Angalia cband ilipokaa kwenye port gani, kama ni 1 2 3 au 4. Nyingine wameziname A b c na d. So inabidi kule kwenye antenna settings ilipoandikwa discq... Urekebishe..
Nb.. Ukifasnikiwa kurudisha za itv, basi utakuja hapa kuomba frequence kwa wakuu watakusaidia,
regards

Mkuu nimefunga lnb 3. Ku ya 68.5 napata freq zote isipokuwa 12.578 ambayo ni ya Citizen,nimecheza nayo sana na haikamati. Sasa nimejarb ktk C band intel 906 Freq 3.845V3.100,tabu inatokea nikiipata then STAR TV INAPOTEA. Je kuna uwezekano kweli wa zote kuwepo bila mojawapo kupotea?
 
Du mada hii nimeipenda wakubwa. Mm na ufahamu mdogo sana wa kuseti dish. Naomba mnijuze.
Naomba mchakato mzima wa kufunga lnb, na kuingiza code kwenye receiver.
 
kama una huhakika hujaugusa ungo kule uliko, na inakuonesha NO cHANNel, sio No signal... Nenda menu> installation> antenna settings then tafuta intelsat 906 64.2 E, kwenye lnb power inabidi iwe 5150 au 5750 na sio zaidi ya hapo (k@m sijakosea) then ukimaliza bonyeza menu, nenda manua search angalia frequence na symbol rate then search(hii inadepend kama nae alitumia hiyo hiyo satellite) kama hakuitumia inabidi uanze kujaza.. Kwa kukusaidia anza na itv.. Andika 3643 h 8545 (inategemea fibre ya kwenye lnb imekaaje so unaweza weka vertical badala ya horizontal) then search... HUkUFAFanua kama unatumia lnb zaidi ya moja.. Kama ni zaidi ya moja kuna disc switch pale kati.. Angalia cband ilipokaa kwenye port gani, kama ni 1
2 3 au 4. Nyingine wameziname A b c na d. So inabidi kule kwenye antenna settings ilipoandikwa discq... Urekebishe..
Nb.. Ukifasnikiwa kurudisha za itv, basi utakuja hapa kuomba frequence kwa wakuu watakusaidia,
regards

what if intelsat 906 haipo, kwangu kuna intelsat 905 na 907, na nyingine ni c_INTELSAT 906? natakiwa nifanyaje
 
20190212_213545.jpg
mwezi uliopita niliona tbc wanatangaza kubadiri frequency. Nikapiga pic. Naona sasa wameshapotea hewani
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom