Wakubwa habari ya Boxing day.
Nina tatizo la flsha disc yangu. Sijui imekuwaje lakini haitaki kuchukua files (Ukitaka kusave) pamoja na tatizo la kufunguka. Ukitaka kusave document inakwambia write protected. Sijui ni ushamba wangu lakini naombamwenye ujuzi anisaidie namna ya kuondoa hiyo "write protection.
Thanx
Nina tatizo la flsha disc yangu. Sijui imekuwaje lakini haitaki kuchukua files (Ukitaka kusave) pamoja na tatizo la kufunguka. Ukitaka kusave document inakwambia write protected. Sijui ni ushamba wangu lakini naombamwenye ujuzi anisaidie namna ya kuondoa hiyo "write protection.
Thanx