pangalashaba
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 1,275
- 1,509
Habari za Jumamosi wanajamvi,
Tafadhali mwenye ufahamu wa masuala ya usalama barabarani naomba anieleweshe kuhusiana na hili.
Alfajiri ya leo nikiwa namsindikiza ndugu yangu stand kuu ya mabasi Arusha, nilisimamishwa na askari wa usalama maeneo ya USA River, akakagua kigari changu premio then akaomba first aid kit.
Hapo ndipo aliponikamata maana hiyo kitu mmi sina.Hii imekaaje wanabodi?
Maana mimi nafahamu first aid kit ni kwa magari ya abiria tu, au uelewa wangu ni mdogo kuhusiana na hii kitu kwenye magari.
Please mwenye uzoefu na haya mambo mana wameniwasha ten alfajiri ya leo.
Tafadhali mwenye ufahamu wa masuala ya usalama barabarani naomba anieleweshe kuhusiana na hili.
Alfajiri ya leo nikiwa namsindikiza ndugu yangu stand kuu ya mabasi Arusha, nilisimamishwa na askari wa usalama maeneo ya USA River, akakagua kigari changu premio then akaomba first aid kit.
Hapo ndipo aliponikamata maana hiyo kitu mmi sina.Hii imekaaje wanabodi?
Maana mimi nafahamu first aid kit ni kwa magari ya abiria tu, au uelewa wangu ni mdogo kuhusiana na hii kitu kwenye magari.
Please mwenye uzoefu na haya mambo mana wameniwasha ten alfajiri ya leo.