Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu. Nimepata kusikia kidogo kuhusu kozi ya Doctor of Pharmacy(pharm D.)
Naomba kufahamu kama kuna chuo tanzania kinatoa hyo koz au kama kuna mpango wa kuianzsha.
Pili nahitaji kujua kuhusu career yake yan baada ya hapo mtu anakua ana deal na nini?
Naomba kufahamu kama kuna chuo tanzania kinatoa hyo koz au kama kuna mpango wa kuianzsha.
Pili nahitaji kujua kuhusu career yake yan baada ya hapo mtu anakua ana deal na nini?