Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Katika pita pita zangu huku whatsapp kuna mtu aka share hii company ya DIAMOND TRADERS INVESTMENT PROGRAM nikamfuata akanipa namba za mwenyekiti wa hiyo company ambapo una wekeza kiasi fulani halafu unalipwa yaani mfano ukiwekeza elfu 30 unalipwa elfu 28 mara 3 ndan ya siku 9 sasa nikamuuliza nitamuuamini vipi akanitumia lesen yao na kila kitu.
Nime attach apa sasa mimi nataka kujua hivi hii company ni kweli au ndio kuna janja janja na je kuna mtu yeyote aliwahi kujiunga nao na kama hawa janja janja je kuna mtu yeyote anayejua taasisi ya aina kama hii ambayo ni ya ukwel( samahani kwa kiswahili kibovu lakini vitu vingi nime attach hapa chini)View attachment TIN0001.pdfView attachment DIAMOND TRADERS INVESTMENT-2019 - 2020.pdfView attachment BRELLA0001.pdf
Nime attach apa sasa mimi nataka kujua hivi hii company ni kweli au ndio kuna janja janja na je kuna mtu yeyote aliwahi kujiunga nao na kama hawa janja janja je kuna mtu yeyote anayejua taasisi ya aina kama hii ambayo ni ya ukwel( samahani kwa kiswahili kibovu lakini vitu vingi nime attach hapa chini)View attachment TIN0001.pdfView attachment DIAMOND TRADERS INVESTMENT-2019 - 2020.pdfView attachment BRELLA0001.pdf