Msaada kuhusu dawa aina ya Ciprofloxacin

kaone

Member
Dec 4, 2014
39
10
Habarini wadau,
Wadau naomba kuuliza kuhusu dawa aina ya Ciprofloxacin. Inatibu magonjwa yapi?

Nashukuru.
 
mkuu hilo swali siyo rahis kama ulivyo uliza, ni bora ungeuliza ugonjwa halafu wadau wakushauri dawa.
na kama shule ya udaktari na ufamasia ingekuwa hivyo yaani mnataja dawa afu mnaorodhesha magonjwa ya kutibiwa na hiyo dawa. basi mambo yangekuwa simple saana na huenda watu wengi wangesomea..

Jibu sahihi ni kuwa hiyo ni antibiotic na inatibu magonjwa yatokanayo na aina fulani ya Bakteria.
mfano, Magonjwa ya zinaa kisonono , kimeta anthrax, homa ya matumbo typhoid, mifupa, magonjwa ya ngozi, kuhara, kuhara damu, magonjwa ya njia ya hewa,, unaweza ukataja mpaka kesho.

kumbe ukiona mtu anatumia hiyo dawa usikimbilie kutoa hitimisho lako kuwa ni dawa ya ugonjwa fulani.
 
Magonjwa yasababishwayo na bakteria na ni dawa nzuri zaid japo zipo zingine kama dox na mimi mwenyewe.
 
Me nmeambiwa na doctor Nitumie iyo. Baada ya kuwa naenda haja kubwa natoa dam. Sasa cjui utanisaidia?
 
Back
Top Bottom