Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Habari za wakati huu wadau wa elimu katika jukwaa hili adhimu,I hope mko salama..
Nina mdogo angu kamaliza kidato cha nne mwaka Jana '2019',na kwa mujibu wa matokeo yaliyotolewa juzi na Necta amefaulu kwa kupata Daraja la pili yaani Division II ya 19.
Ndoto zake ni kusoma Nursing hapo Chuo cha Afya Bugando Mwanza,,kwa matokeo yake yanaonesha Chemistry ana C pia Biology ana C,ila Physics hakusajili.
Yupo Arusha so ningependa kujua utaratibu wa Bugando jinsi ya Kudahili wanafunzi ikiwemo vigezo wanavyozingatiaga,yeyeto anaeujua utaratibu wa ku'apply ukoje na huanza lini?pia nikipata mwanafunzi wa pale itakua vizuri zaidi..au ani PM.
Ahsanteni sana...Wasalaam.
@NgarenaroBoy
Nina mdogo angu kamaliza kidato cha nne mwaka Jana '2019',na kwa mujibu wa matokeo yaliyotolewa juzi na Necta amefaulu kwa kupata Daraja la pili yaani Division II ya 19.
Ndoto zake ni kusoma Nursing hapo Chuo cha Afya Bugando Mwanza,,kwa matokeo yake yanaonesha Chemistry ana C pia Biology ana C,ila Physics hakusajili.
Yupo Arusha so ningependa kujua utaratibu wa Bugando jinsi ya Kudahili wanafunzi ikiwemo vigezo wanavyozingatiaga,yeyeto anaeujua utaratibu wa ku'apply ukoje na huanza lini?pia nikipata mwanafunzi wa pale itakua vizuri zaidi..au ani PM.
Ahsanteni sana...Wasalaam.
@NgarenaroBoy