Huwa wanasisitiza ijazwe kwa pen nyeusi. Fanya hivyo kuepuka usumbufu.Ni rumours za watu mtaani mkuu
Je kama tayari form nishaituma na nimetumia peni ya blue kuna tatizo?
Lakini hakuna sehemu yoyote waliyo tu guide tutumie black pen only.maana hats kwenye muongozo wao hawajagusia kitu kama hicho mkuusio unasikia ua inatakiwa pen nyeusi, tatizo linaweza likawepo au lisiwepo ila naisi wote ua wanajaza kwa pen nyeusi.
na kama lisipokuepo siku nyingine fata utaratbu, wewe form ya mkopo, una uhitaji alafu unashindwa kufata mambo madogo madogo kama ayo, na ilo so la kuambiwa ua ni ivo.
ila hamna, na kama litakuepo siku nyingine jitaidi kufata taratibu sehemu yoyote ile..
io so kuambiwa an ua iko ivo, ila nais hamna tatzo,Lakini hakuna sehemu yoyote waliyo tu guide tutumie black pen only.maana hats kwenye muongozo wao hawajagusia kitu kama hicho mkuu
SijuiJe kama tayari form nishaituma na nimetumia peni ya blue kuna tatizo?
Kama ulijaza kwa pen ya blue usijali mkuu ingawa HESLB huwa wanataka utumie pen nyeusi, kama una vigezo mkopo utapata kuwa mvumilivu maombi yanafanyiwa kaziHabarini wakuu?naomba nipewe ufafanuzi juu ya hizi tetesi zilizozagaa kwamba ukitumia pen ya blue katika kujaza form ya maombi ya mikopo ya elimu ya juu kuwa ni makosa eti black pen ndo inatakiwa?naombeni ufafanuzi juu ya jambo hill?
Lazima ukamilishe kila hatua mkuuWakuu msaada wenu jaman eti ukiwa hujakamilisha kile kipengele cha declaration kwenye softcopy AF hardcopy imekamilika kuna madhara yoyote