muoga wa jf
Senior Member
- Jun 27, 2016
- 198
- 214
Wakuu habari jumatatu ya wiki tulipofika ofisi ndogo ya tamisemi magogoni walituambia mwaka huu hakuna uhamisho wa wowote mpaka ufanye kwa njia ya kawaida pindi uwasilipo shule
Ila baada ya muda mfupi kidogo yule kiongozi alituambia tuandike barua kama unasababu za msingi za kuhama swali langu je ni kweli wanaweza kuzisoma na kazi jipu? pia wanaweza badilisha combination na shule kweli?
Na pia tukumbuke hapo walisema hakuna uhamisho mwaka lakini miaka yote ubadilisha shule na combination iweje isiwe mwaka huu tu?
Ila baada ya muda mfupi kidogo yule kiongozi alituambia tuandike barua kama unasababu za msingi za kuhama swali langu je ni kweli wanaweza kuzisoma na kazi jipu? pia wanaweza badilisha combination na shule kweli?
Na pia tukumbuke hapo walisema hakuna uhamisho mwaka lakini miaka yote ubadilisha shule na combination iweje isiwe mwaka huu tu?