Msaada kuhusu athletic scholarships za USA colleges

Dr Rutagwerera Sr

JF-Expert Member
Dec 21, 2011
5,800
11,333
Wakuu habar zenu. Naomba msaada wenu kwa yoyote anayejua namna ya ku apply na kupata athletic scholarship zitolewazo nchini USA kwa wanamichezo vijana. Mdogo wangu ana kipaji kikubwa cha soka na upeo mkubwa darasani. Anataka aweze kunufaika na elimu huku akiendeleza kipaji. Nimejaribu kuwaandikia email site tofauti zinazohusika bila majibu na wengine wakijibu kuwa watatupigia simu lakini kimya. Msaada tafadhali kwa anayejua, hizo scholarship za michezo ndizo zilizomsaidia hata Hasheem Thabeet. Nawakilisha!
 
Nina uelewa kiasi na hizo scholarship as a basketball fan so naangaliaga NCCA basketball tournament ambayo ni mashindano ya vyuo vikuu marekani na wanaocheza wana athletic scholarship..

Nachojua ili upate hizo scholarship lazima uwe na vigezo vifuatavyo..

1. Kwanza uwe na uwezi mkubwa kimichezo na uwe na background inayoonesha kweli unajua zaidi ya wenzako.. I mean kama yupo Tanzania lazima awe na video back up kuprove uwezo wake kimichezo,, awards za michezo alizowai kupata high school like player of the tournament, most outstanding player in thr country.. I mean kwa wanaotoka nchi kama Tanzania lazima awe mkali kiasi Nchi nzima waandishi wa habari wanamjua kwamba dogo mkali.

2. Awe hajawai kucheza senior Team na kulipwa pesa as college rules zina dis qualify wachezaji waliocheza proffessional league.. Anatakiwa awe hajawai kucheza proffessional league..

3. Kama ni basketball anatakiwa awe ameshiriki basketball without boarder to prove that anajua as nowdays NBA inaendesha basketball without boarder africa ambayo wachezaji wazuri nchini wanachaguliwa na chama cha basketball Tanzania kwenda kushiriki hiyo training, so kushiriki hiyo training kina prove that wewe una uwezo ndo maana ukachaguliwa kwenda basketball without boarder.

4.Awe na gpa isiyopungua 3.0 kwa high school zinazofata mfumo wa gpa as kibongo bongo ili kuwa convice jamaa lazima awe na division 1 au division 2 kwenye national examinations ya form 6 so that college education board impitishe kwa upande wa darasani,,,

5. Aandae aplications package nzito inayoinclude CV yake kimichezo, Video dvd zinazoonyesha mashindano aliyocheza na uwezo wake, coppies of school certificates, coppies of sports awards and pictures kisha aende navyo pale kwenye ubalozi wa marekani msasani watamuelekeza jinsi ya kufanya..

Ni kweli anaweza akafanikiwa as inaniuma sana kuangalia mashindano ya mwaka huu march nimeona watoto wa Uganda, senegal, nigeria, ghana kibao kwenye team za vyuo vya marekani tena vikubwa as university of arizona, alabama, california, havard etc. as wana athletic scholarship Wakati sisi wabongo tumezubaa tu, wenzetu nchi zao zinawasaidia ku apply hizo scholarships na Wengi wao wanapata
 
Nina uelewa kiasi na hizo scholarship as a basketball fan so naangaliaga NCCA basketball tournament ambayo ni mashindano ya vyuo vikuu marekani na wanaocheza wana athletic scholarship..

Nachojua ili upate hizo scholarship lazima uwe na vigezo vifuatavyo..

1. Kwanza uwe na uwezi mkubwa kimichezo na uwe na background inayoonesha kweli unajua zaidi ya wenzako.. I mean kama yupo Tanzania lazima awe na video back up kuprove uwezo wake kimichezo,, awards za michezo alizowai kupata high school like player of the tournament, most outstanding player in thr country.. I mean kwa wanaotoka nchi kama Tanzania lazima awe mkali kiasi Nchi nzima waandishi wa habari wanamjua kwamba dogo mkali.

2. Awe hajawai kucheza senior Team na kulipwa pesa as college rules zina dis qualify wachezaji waliocheza proffessional league.. Anatakiwa awe hajawai kucheza proffessional league..

3. Kama ni basketball anatakiwa awe ameshiriki basketball without boarder to prove that anajua as nowdays NBA inaendesha basketball without boarder africa ambayo wachezaji wazuri nchini wanachaguliwa na chama cha basketball Tanzania kwenda kushiriki hiyo training, so kushiriki hiyo training kina prove that wewe una uwezo ndo maana ukachaguliwa kwenda basketball without boarder.

4.Awe na gpa isiyopungua 3.0 kwa high school zinazofata mfumo wa gpa as kibongo bongo ili kuwa convice jamaa lazima awe na division 1 au division 2 kwenye national examinations ya form 6 so that college education board impitishe kwa upande wa darasani,,,

5. Aandae aplications package nzito inayoinclude CV yake kimichezo, Video dvd zinazoonyesha mashindano aliyocheza na uwezo wake, coppies of school certificates, coppies of sports awards and pictures kisha aende navyo pale kwenye ubalozi wa marekani msasani watamuelekeza jinsi ya kufanya..

Ni kweli anaweza akafanikiwa as inaniuma sana kuangalia mashindano ya mwaka huu march nimeona watoto wa Uganda, senegal, nigeria, ghana kibao kwenye team za vyuo vya marekani tena vikubwa as university of arizona, alabama, california, havard etc. as wana athletic scholarship Wakati sisi wabongo tumezubaa tu, wenzetu nchi zao zinawasaidia ku apply hizo scholarships na Wengi wao wanapata

Good answer! Kama ni soccer jaribu St Lawrence huwa wanaoffer scholarship in that area, kama Mkata Kiu alivyosema lazima awe na cv iliyoshiba, jaribu kucheck pia exam inaitwa SAT its very important for undergraduate wanaoukuja kusoma huku, in short hakikisha una kila kitu
 
Back
Top Bottom