Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,005
- 1,954
Habari zenu wakuu,
Nilikuwa naomba ufafanuzi kidogo kwa jambo fulani linalonikabili.Mimi ni mwanafunz wa chuo nimeingia kwenye allocation yangu lkn hapo kwenye returned amount ndo inanichanganya kwa anaefahamu maana sijawah kukosa kusain boom, wala ada na zote nishasain na nikapewa.
Lakini kuna mtu kaniambia hiyo ni fedha inarudishwa bodi baada ya mwanafunzi kutokusaini na akaniambia inawezekana hiyo ni ela ya field ambayo sikusaini mwaka jana kutokana na kuamini nimekosa na sikuona kwenye alocation, mwenye uelewa zaidi kuhusu hili swala naomba ufafanuzi tafadhali kama hii hela ninaweza kuipata.
Nawasilisha.
Nilikuwa naomba ufafanuzi kidogo kwa jambo fulani linalonikabili.Mimi ni mwanafunz wa chuo nimeingia kwenye allocation yangu lkn hapo kwenye returned amount ndo inanichanganya kwa anaefahamu maana sijawah kukosa kusain boom, wala ada na zote nishasain na nikapewa.
Lakini kuna mtu kaniambia hiyo ni fedha inarudishwa bodi baada ya mwanafunzi kutokusaini na akaniambia inawezekana hiyo ni ela ya field ambayo sikusaini mwaka jana kutokana na kuamini nimekosa na sikuona kwenye alocation, mwenye uelewa zaidi kuhusu hili swala naomba ufafanuzi tafadhali kama hii hela ninaweza kuipata.
Nawasilisha.