Habari za muda huu wadau! Nawasalimu,
kama kichwa cha habari kilivyoeleza nakaribia kumaliza chuo hivyo natamani nifungue ofisi ya kufanya maintenance na graphics.
Kwenye comp maintenance natakiwa kuwa na vifaa gani kwa kuanzia?
Na hivyo vifaa ni bei gani?
Naombeni mnisaidie wadau najua wajuzi huku wako wengi mno. Asanteni na naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
kama kichwa cha habari kilivyoeleza nakaribia kumaliza chuo hivyo natamani nifungue ofisi ya kufanya maintenance na graphics.
Kwenye comp maintenance natakiwa kuwa na vifaa gani kwa kuanzia?
Na hivyo vifaa ni bei gani?
Naombeni mnisaidie wadau najua wajuzi huku wako wengi mno. Asanteni na naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app