Msaada kufika Uhamiaji Kurasini kutokea Tegeta

Ili usipate taabu ya kutembea ukiwa unatoka tegeta panda gari mpaka Morroco kinondoni,ukifika hapo panda mwendokasi itakupeleka moja kwa moja mpaka Gerezani Kariakoo,ukiteremka humo utaziona gari za Mbagala na Temeke kupitia Kilwa road.Teremkia JKT.Ukiteremka tu kushoto kwako utakiona Chuo cha Diplomasia ndipo zilipo ofisi za Uhamiaji.
 
Wakuu habari zenu.

Naomba msaada nakusudia kwenda Uhamiaji Kurasini kwa usafiri wa umma ila sijui nipande basi gani natokea Tegeta Nyuki.

Nitashukuru kwa maelekezo ni mimi dada yenu Rihana!
Dada Rihanna naomba nikusindikize jamani!
 
Panda ya mbagala shuka,koromije alafu pakia ya tuwangoma,nenda mpk kibada,chukua bodaboda mpk darajani shuka pakia ya kivukoni kkoo,shuka uhasibu...tembea kwa mkuu mpk jitegemee! shuka kunywa juice au maji baridi alafu ulizia wapi walipo wahamiajia TZ??
 
Panda gari za Kkoo,shukia Morocco panda mwendokasi mpaka gerezani hii itakusaidia kutopotea kwasababu magari ya Tegeta yanaishia mbali kidogo na gerezani. Then upande magari ya mbagala,temeke kupitia Kilwa road halafu ushukie JKT. Ukifika hapo ulizia utaelekezwa.
 
Back
Top Bottom