Elfu 20.Habari .
Kuna kibanda cha square metre 371 kimefikia hatua ya kupaua na kuweka bati , je makadirio ya gharama inaweza kuwa shs ngapi?
Natangiliza shukrani.
Kwa faida yangu assume tunafichaUnataka kupaua mtindo gani mkuu? Bati unaficha au mgongo wa tembo?
Kupaua tu kuanzia mil 27? Mbona tunakatishana tamaa jamani?Ya kwangu moja ya 11 x 14 ilichukua 12m; kwa hiyokulingana na ukubwa wa nyumba yako inawezezekana wewe ujiandae kwa kuanzia 27m
12 milioni 11×14 umeingiza hela nyingi mnoYa kwangu moja ya 11 x 14 ilichukua 12m; kwa hiyokulingana na ukubwa wa nyumba yako inawezezekana wewe ujiandae kwa kuanzia 27m
HaiwezekaniYa kwangu moja ya 11 x 14 ilichukua 12m; kwa hiyokulingana na ukubwa wa nyumba yako inawezezekana wewe ujiandae kwa kuanzia 27m
Kupaua tu kuanzia mil 27? Mbona tunakatishana tamaa jamani?
12 milioni 11×14 umeingiza hela nyingi mno
Haiwezekani
mkuu naomba ramani yako nimependa sana ivyo vipimo 10M kwa 9.9MSquare meter 371, ambayo ni 19×19 mkuu hii nyumba mbona kubwa sana, duh hapo kwenye kupaua na finishing yake jiandae kisaikolojia, nilijenga nyumba ya square meter 99 kupaua na finishing haikuwa rahisi
Mmmh mkuu sio kwamba unamtisha sna jamaa. Bati za namna gani hizo?Ya kwangu moja ya 11 x 14 ilichukua 12m; kwa hiyokulingana na ukubwa wa nyumba yako inawezezekana wewe ujiandae kwa kuanzia 27m
Hii ni kwa bati aina gani mkuu? Unaweza kutoa ufafanuzi hiyo 1.5 na 25,000 zina stand for index gani?Fanya estimation cost ni = 371 x 1.5 x 25,000 = Bati tu 13,912,500/= kwahiyo waliosema andaa 12m ,14m wakpo sahihi.
Hii ni kwa bati aina gani mkuu? Unaweza kutoa ufafanuzi hiyo 1.5 na 25,000 zina stand for index gani?
kwa hapa sina mkuu ila ni 11 kwa 9 ambapo niliigawa mara tatu.mkuu naomba ramani yako nimependa sana ivyo vipimo 10M kwa 9.9M
naipataje boss wangu.kwa hapa sina mkuu ila ni 11 kwa 9 ambapo niliigawa mara tatu.
1. upande wa kwanza kuna master na choo chake, pia choo cha public,
2. upande wa pili ni sitting room, dining na kitchen.
3. Upande wa tatu ni vyumba viwili vya watoto na vyoo vyake. Vyumba vya watoto ni 3x3, vyoo vimegawanywa kutoka kwenye ile 3x3 nyingine nakuwa nimekamilisha 9. Upande wa pili sitting ina upana wa 4.2 , master ina 3.8.