Msaada,kubana..... kunasaidia nini??

Kifude

Member
Dec 6, 2012
31
5
Wanajamvi naombeni msaada wenu,nina tatizo la nguvu za kiume..eti ni kweli kukojoa kwa kubana mkojo inaweza kunisaidia?
NISAIDIENI JAMANI
 
Nguvu za kiume kwa maana ya kushindwa kusimamisha ama kumaliza haraka? Kumaliza haraka inasaidika kwa kukojoa na kubana (kegel's exercise), kusimamisha nadhani unahitaji kuonwa na specialist.
 
Nguvu za kiume kwa maana ya kushindwa kusimamisha ama kumaliza haraka? Kumaliza haraka inasaidika kwa kukojoa na kubana (kegel's exercise), kusimamisha nadhani unahitaji kuonwa na specialist.

yani nina matatizo yote,misuli yangu ni dhaifu,pia na wahi sana kumaliza ndugu yangu
 
Basi hiyo ya kubana mkojo na kuachia mara kadhaa kila wakati itakusaidia. Kuna series inaitwa 21st century sex, sijui kama ipo youtube. Inaelekeza massage fulani ambayo hufanywa wakati wa blow job. Unaanzia kwenye shina kama unasokota hivi kuelekea mwisho. Inasaidia kuimarisha misuli. Kila la kheri.
 
Basi hiyo ya kubana mkojo na kuachia mara kadhaa kila wakati itakusaidia. Kuna series inaitwa 21st century sex, sijui kama ipo youtube. Inaelekeza massage fulani ambayo hufanywa wakati wa blow job. Unaanzia kwenye shina kama unasokota hivi kuelekea mwisho. Inasaidia kuimarisha misuli. Kila la kheri.

ubarikiwe ndugu
 
Kanunue bukta na viatu, kila siku piga tizi kwa kukimbia japo kidogo kidogo kwa umbali mrefu, ili ikichanganya upige tizi la kikweli.....fanya karibu kila siku....! Ndani ya wiki moja hadi mbili, lazima jamshid liamke lenyewe ukiwa peke yako, na halitaki kulala...!
....zipo dawa kibao za kunyanyua na kufanya uende posta mara nyingi.......ila sikushauri utumie dawa yeyote ile hata mara moja.
 
Kanunue bukta na viatu, kila siku piga tizi kwa kukimbia japo kidogo kidogo kwa umbali mrefu, ili ikichanganya upige tizi la kikweli.....fanya karibu kila siku....! Ndani ya wiki moja hadi mbili, lazima jamshid liamke lenyewe ukiwa peke yako, na halitaki kulala...!
....zipo dawa kibao za kunyanyua na kufanya uende posta mara nyingi.......ila sikushauri utumie dawa yeyote ile hata mara moja.

hiyo red sikujua kama ni tiba
 
Kanunue bukta na viatu, kila siku piga tizi kwa kukimbia japo kidogo kidogo kwa umbali mrefu, ili ikichanganya upige tizi la kikweli.....fanya karibu kila siku....! Ndani ya wiki moja hadi mbili, lazima jamshid liamke lenyewe ukiwa peke yako, na halitaki kulala...!
....zipo dawa kibao za kunyanyua na kufanya uende posta mara nyingi.......ila sikushauri utumie dawa yeyote ile hata mara moja.

kwa hyo mambo hayo,yatafanya nichelewe kumaliza?
 
Ukiwa fit ya kutosha, hata ukiwahi kumaliza.......bado unaweza kurudia raundi kadhaa baada ya hapo. Mazoezi ni dawa kubwa sana jaribu utaniambia.

Kuwahi kumaliza, mara nyingi (kwa mimi) huwa napiga mbili kwa moja....nishaiongeleaga hapa. Ni hivi, ukianza kusikia wazungu wanakuja....usi'pump au kuchochea tena.....ziache zitoke zenyewe.....kwa kufanya hivi hutasikia raha hata kidogo.....lkn mshobobo hautalala..., mnafuta mazingira mnaenda lingine.................kwanza uwe fiti usije ukazimia juu ya kifua.
 
yani nina matatizo yote,misuli yangu ni dhaifu,pia na wahi sana kumaliza ndugu yangu

pole sana ,labda jaribu kufanyia kazi ushauri wa hapo juu wa njia ya kubana ili usiweze kukojoa haraka na unatakiwa usiwe na papala mzee katika kudo, je baada ya kukojoa dushelele uwa inasimama tena baada ya muda au ndo ilala mazima?
 
Ukiwa fit ya kutosha, hata ukiwahi kumaliza.......bado unaweza kurudia raundi kadhaa baada ya hapo. Mazoezi ni dawa kubwa sana jaribu utaniambia.

Kuwahi kumaliza, mara nyingi (kwa mimi) huwa napiga mbili kwa moja....nishaiongeleaga hapa. Ni hivi, ukianza kusikia wazungu wanakuja....usi'pump au kuchochea tena.....ziache zitoke zenyewe.....kwa kufanya hivi hutasikia raha hata kidogo.....lkn mshobobo hautalala..., mnafuta mazingira mnaenda lingine.................kwanza uwe fiti usije ukazimia juu ya kifua.

asante kwa ushauri
 
pole sana ,labda jaribu kufanyia kazi ushauri wa hapo juu wa njia ya kubana ili usiweze kukojoa haraka na unatakiwa usiwe na papala mzee katika kudo, je baada ya kukojoa dushelele uwa inasimama tena baada ya muda au ndo ilala mazima?

yeah,mpaka muda flan ndo inasimama tena
 
Daktari inaonekana upo deep sana na mambo haya. Ulishawahi fanya mazoezi haya?

Basi hiyo ya kubana mkojo na kuachia mara kadhaa kila wakati itakusaidia. Kuna series inaitwa 21st century sex, sijui kama ipo youtube. Inaelekeza massage fulani ambayo hufanywa wakati wa blow job. Unaanzia kwenye shina kama unasokota hivi kuelekea mwisho. Inasaidia kuimarisha misuli. Kila la kheri.
 
Ulishawahi kupiga punyeto kwa sana?
Mkuu GOOGLE Umemuuliza swali zuri sana ninakupa hongera unajuwa Vijana wengi wanajiongopea kwa kupiga Punyeto eti wakisema ukipiga Punyeto siku ukikutana na mpezni wako utamtosheleza sana wakati Punyeto ina madhara kwa wanaume sana.

Yap,nimefanya sana
Mkuu Kifude Kama ulikuwa unapiga Punyeto hii ndio iliyokuharibia Nguvu zako za kiume hata kama ukienda hospitali hakuna Dawa za kurudisha Nguvu zako za kiume utajisumbuwa bure kwenda kutafuta Dawa Ma-Hospitalini za kurudisha Nguvu zako za kiume hicho kitu hakuna huko Hospitali.Ukitaka kurudisha Nguvu zako za kiume hebu tembelea Thread yangu nimeweka hap bonyeza https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html
 
Mkuu GOOGLE Umemuuliza swali zuri sana ninakupa hongera unajuwa Vijana wengi wanajiongopea kwa kupiga Punyeto eti wakisema ukipiga Punyeto siku ukikutana na mpezni wako utamtosheleza sana wakati Punyeto ina madhara kwa wanaume sana.

Mkuu Kifude Kama ulikuwa unapiga Punyeto hii ndio iliyokuharibia Nguvu zako za kiume hata kama ukienda hospitali hakuna Dawa za kurudisha Nguvu zako za kiume utajisumbuwa bure kwenda kutafuta Dawa Ma-Hospitalini za kurudisha Nguvu zako za kiume hicho kitu hakuna huko Hospitali.Ukitaka kurudisha Nguvu zako za kiume hebu tembelea Thread yangu nimeweka hap bonyeza https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html

okay,kaka
 
Pole mkuu kifude dah kwahiyo lakunoga hujakutana nalo kwamuda gani sasa? Hapo kutana na mkuu mzizi mkavu lakini mazoezi yana tija sani wenda wewe nibonge na una mafuta mengi mwilini mwako kwahiyo tizi ina punguza mafuta na kurahicsha mzunguko wadam kufika kwa wingi kwenye dushelele nihayo2 ila pole mkuu kwakulikosa lakunoga lakini ucjali utapona
 
Pole mkuu kifude dah kwahiyo lakunoga hujakutana nalo kwamuda gani sasa? Hapo kutana na mkuu mzizi mkavu lakini mazoezi yana tija sani wenda wewe nibonge na una mafuta mengi mwilini mwako kwahiyo tizi ina punguza mafuta na kurahicsha mzunguko wadam kufika kwa wingi kwenye dushelele nihayo2 ila pole mkuu kwakulikosa lakunoga lakini ucjali utapona

la kunoga cjalipata siku nyngi,pia nashukuru kwa ushauri wako
 
Ukiwa fit ya kutosha, hata ukiwahi kumaliza.......bado unaweza kurudia raundi kadhaa baada ya hapo. Mazoezi ni dawa kubwa sana jaribu utaniambia.

Kuwahi kumaliza, mara nyingi (kwa mimi) huwa napiga mbili kwa moja....nishaiongeleaga hapa. Ni hivi, ukianza kusikia wazungu wanakuja....usi'pump au kuchochea tena.....ziache zitoke zenyewe.....kwa kufanya hivi hutasikia raha hata kidogo.....lkn mshobobo hautalala..., mnafuta mazingira mnaenda lingine.................kwanza uwe fiti usije ukazimia juu ya kifua.

Msese kwangu mimi hiyo ndo namba moja kama ni gemu nataka kumuonyesha mygal basi hapo huwa mpaka anaomba pooo mwenyewe yaaani hiyo mwenye shida namana ya kuipraktise anicheki ntamuelewesha kwa vizuri. epukana na dawa zinaweza kukufanya ukawa tegemezi kwa kunywa dawa then na akili itajityuni kuwa bila dawa huwezi na utakuwa mwanzo wa kulemaa maana mwili ukisha zoea dawa unalemaa, mwisho wa siku shemeji ataanza kuomba msaada 'tuta'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom